Anyways enough me talking, ila mleta mada una wazo zuri ila umekosa hekima katika majibu yako, na kwa mtu timamu ameshajua we ni mtu gani!!Chukua time, nijibu nini? Haya mashudu yenu?
Hata kuandika PhD hujui!! PHD ndio nini??
Anyways enough me talking, ila mleta mada una wazo zuri ila umekosa hekima katika majibu yako, na kwa mtu timamu ameshajua we ni mtu gani!!
Na kama una haiba hii na kama wewe ni mwanamke, wewe hutakua na hasara ila wanao na walio kuzunguka watajuta!! Kila la kheri mleta mada na nikutakie mema yoote katika kufungua twisheni za vyuo vikuu!!
Choo kikuu ulisoma tuition ya kujifunza kuandika? Elimu ya chupi ni majanga,Acha matusi wewe, elimu yako kama kubwa, inanisaidia nini mimi?
By the way sijui mnalolipinga ni lipi??jiongezeni, Tafuteni kny search engine za computer zenu private tuition MJIONGEZE!!!! Nimewasamehe kwa sababu najua hamkupata exposure, mfyuuu
tunalima braza na kusafirisha mazao Zambia na Congo japo wenzetu wa education bado wanalia lia mtaji sijui sie tumetoa wapiMbona mnalalamikia Magufuli hamna ajira.
Kwa nini msijikusanye kikundi,cha watu wenye fani tofauti(mlizosomea university)mfano mmoja akawa amesomea law,mwingine Accouning n mwingine labda biashara etc.........mkaanza kutoa TUITION kwa watu wanaosoma sasa hivi (undergraduates na post graduates.....current students,mnawasaidia watu kupambana na masomo yao,study skills..............mnaweza kuwasaidia kujenga confidence,kuandika assignment,course work,essay writing ,dissertation etc
NB msiwaandikie bali mfundishe how to do it....
Wewe umejiajiri na nini?Mbona mnalalamikia Magufuli hamna ajira.
Kwa nini msijikusanye kikundi,cha watu wenye fani tofauti(mlizosomea university)mfano mmoja akawa amesomea law,mwingine Accouning n mwingine labda biashara etc.........mkaanza kutoa TUITION kwa watu wanaosoma sasa hivi (undergraduates na post graduates.....current students,mnawasaidia watu kupambana na masomo yao,study skills..............mnaweza kuwasaidia kujenga confidence,kuandika assignment,course work,essay writing ,dissertation etc
NB msiwaandikie bali mfundishe how to do it....
Ajira siku hizi wanakimbilia siasa au serikalini wengi walijua huko ndo kutoka haraka kwa madiliMbona mnalalamikia Magufuli hamna ajira.
Kwa nini msijikusanye kikundi,cha watu wenye fani tofauti(mlizosomea university)mfano mmoja akawa amesomea law,mwingine Accouning n mwingine labda biashara etc.........mkaanza kutoa TUITION kwa watu wanaosoma sasa hivi (undergraduates na post graduates.....current students,mnawasaidia watu kupambana na masomo yao,study skills..............mnaweza kuwasaidia kujenga confidence,kuandika assignment,course work,essay writing ,dissertation etc
NB msiwaandikie bali mfundishe how to do it....
Mawazo yakichanganyika na umbea matokeo yake ni haya.
Hivi unadhani kujiajiri ni kazi rahisi kama uwazavyo ?
Hao watu wa masomo ya ziada unayafundisha katika mazingira gani ? Gheto,chumbani,chini ya mti,au kwenye magari ya abiria?
Unaposema kujiajiri ni neno fupi ila ni pana sana kulielezea, mimi nimemaliza majuzi (nimesomea mambo ya wanyamapori) sasa sijui unamanisha nifungue mbuga yangu na mimi nianze kutembeza watalii na kuwaonesha huyu ni mbwa mwitu na huyu ni kobe !!!
Sitaki ujibu ila elewa kimoyomoyo
Kaa utulie tumia lugha moja sijakuelewa kabisaMkuu,kama uliweza kukaa darasani na kusoma course yako,kwa nini the same setting isi apply kwa private tuition??? au course yako ilikua 100% field??
by the way,if you don't know kuna watu wanafundisha online kama skype......
And kama umenisoma vizuri,nilikua nalenga study skills more than content of syllabus,ingawa contents zinaweza kufundishwa pia.
Study skills kama essay writing,report writing,dissertation ndio tatizo,
anyway siwashangai,this comes as culture shock,hamjawa exposed na mambo haya ndio maana naambulia matusi..............
na wewe usinijibu,elewa tu hivyo.............
Nilikua namaanisha,kama ulikaa darasani chuoni,kwa nini hayo mazingira yasiweze kuigwa kwenye tuisheni, Yaani darasa,mwalimu na wanafunzi? Kama vile unapata lecture ila ni tuisheni?Kaa utulie tumia lugha moja sijakuelewa kabisa
Asante sana,nimejifunza na nimegundua wewe ni mwanamke mstaarabu na mvumilivu ,heko kwako rebeca83...Mungu akujalie.Nilikua namaanisha,kama ulikaa darasani chuoni,kwa nini hayo mazingira yasiweze kuigwa kwenye tuisheni, Yaani darasa,mwalimu na wanafunzi? Kama vile unapata lecture ila ni tuisheni?
Nikauliza kama masomo yako yalikua practical 100%hukuudhuria lecture hata moja?
Nikasema mazingira ya Sasa sio lazima mkutane ndio mfundishane, mnaweza kutumia computer na mtandao kama Skype unatumika kama mfano..
Nikasema sio lazima kufundishwa km syllabus inavyosema, bali Ufundi wa kufanya kazi za shule, kama kuandika essay, report na matumizi sahihi ya computer kufanya kazi za shule. Nikasema pia kama mtu amebobea kwenye ujuzi fulani mfano,Finance anaweza kufundisha mambo hayo aliyosomea_(Contents)
Mwisho nikasema hili jambo ni geni kwenu, so matusi Yanatarajiwa....
Nilichokiobserve kwenye hii thread, wasomi kama ndio hawa wakiambiwa kitu, hawafanyi utafiti wa hicho kitu... badala yake wanabisha kutokana na Vitu walivyokaririshwa wakiwa shule... Mnhhhh this is sad
Amen ,rebeka.Asante sana Mkuu,hata wewe ni mstaarabu pia,Mungu akubariki...