2 IN 4,,,,,,,ungepitaga tu....
Tuition zenyewe zipo kweli......
Si zilifutwa .......?
Yaani mwalimu atafute kazi ya tuion
Dactari atafute tuition ya kutibu....
Nesi pia atafute tuition ya uuguzi ?
Hapo ndipo nauliza budget ya kuajiri inaenda wapi?
Unaona kabisa vijana wamenyimwa mikopo ya masomo sasa hayo mafundisho ya ziada watawalipa nini wanaowakochi!?Mbona mnalalamikia Magufuli hamna ajira.
Kwa nini msijikusanye kikundi,cha watu wenye fani tofauti(mlizosomea university)mfano mmoja akawa amesomea law,mwingine Accouning n mwingine labda biashara etc.........mkaanza kutoa TUITION kwa watu wanaosoma sasa hivi (undergraduates na post graduates.....current students,mnawasaidia watu kupambana na masomo yao,study skills..............mnaweza kuwasaidia kujenga confidence,kuandika assignment,course work,essay writing ,dissertation etc
NB msiwaandikie bali mfundishe how to do it....
Unaona kabisa vijana wamenyimwa mikopo ya masomo sasa hayo mafundisho ya ziada watawalipa nini wanaowakochi!?
Hatari, nilifukiri kila course instractor ana system yake ya ufundishajiMkuu why not?
Mbona mnalalamikia Magufuli hamna ajira.
Kwa nini msijikusanye kikundi,cha watu wenye fani tofauti(mlizosomea university)mfano mmoja akawa amesomea law,mwingine Accouning n mwingine labda biashara etc.........mkaanza kutoa TUITION kwa watu wanaosoma sasa hivi (undergraduates na post graduates.....current students,mnawasaidia watu kupambana na masomo yao,study skills..............mnaweza kuwasaidia kujenga confidence,kuandika assignment,course work,essay writing ,dissertation etc
NB msiwaandikie bali mfundishe how to do it....