Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Nyie waajiriwa kwanini msiache kazi/kujiuzuru nafasi zenu ili mkajiajiri ?
chuo chake hichoChuo kikuu sikuizi kuna tuition
Kwani kilaza ni tusi? Kilaza alikuwa ni mwanamuziki wa miaka hiyoooo na alitamba sana.Mxeuuh changia mada, sio matusi eboh
Kama hujaona, ni wewe hujaona,sio kama havipo hivyo vituo..kwanza watu washa seize opportunity, Sasa wewe kaa hapo na bakuli lako,kama linakuongezea chochote!!mwacheni tu...anataka nae aonekane kaanzisha uzi jf..
uliza kwanza dada kabla hujaongea..uliona wapi chuo kuna tuition wewe..au ili mradi tu...
saa zingine kukaa kimya ni bora zaidi kuliko kuongea"
Wee nae, baadhi ya wanafunzi bado wanahitaji study skills za chuo, na ni tofauti kabisaaa na jinsi ulivyokua secondary, kuna essay writing, report writing, course work na dissertation, Nilichokua nataka kusema ni technique jinsi ya kutackle masomo,Tuition zenyewe zipo kweli......
Si zilifutwa .......?
Yaani mwalimu atafute kazi ya tuion
Dactari atafute tuition ya kutibu....
Nesi pia atafute tuition ya uuguzi ?
Hapo ndipo nauliza budget ya kuajiri inaenda wapi?
Kama hujaona, ni wewe hujaona,sio kama havipo hivyo vituo..kwanza watu washa seize opportunity, Sasa wewe kaa hapo na bakuli lako,kama linakuongezea chochote!!
Kama hujaona, ni wewe hujaona,sio kama havipo hivyo vituo..kwanza watu washa seize opportunity, Sasa wewe kaa hapo na bakuli lako,kama linakuongezea chochote!!
Usiwe unaleta utumbo.Rebeca 83 said:Km huna kitu constructive pita.
Mleta mada umesoma mpaka level gani?? Ushawahi kusoma chuo kikuu?? Na kama ushawahi chuoni kuna tuition?? Nnachoona ni kwamba hata diploma huna maana ungekua umefika walau diploma usingeeza andika huu ujinga!!Mbona mnalalamikia Magufuli hamna ajira.
Kwa nini msijikusanye kikundi,cha watu wenye fani tofauti(mlizosomea university)mfano mmoja akawa amesomea law,mwingine Accouning n mwingine labda biashara etc.........mkaanza kutoa TUITION kwa watu wanaosoma sasa hivi (undergraduates na post graduates.....current students,mnawasaidia watu kupambana na masomo yao,study skills..............mnaweza kuwasaidia kujenga confidence,kuandika assignment,course work,essay writing ,dissertation etc
NB msiwaandikie bali mfundishe how to do it....
Elimu yangu itakusaidia nini wewe?au wewe elimu yako, inanisaidia nini mimi?nyie bwabwajeni, wenzenu wamekamata fursa,by the way, kama hujawahi kuona, haimaanishi havipo ebohMleta mada umesoma mpaka level gani?? Ushawahi kusoma chuo kikuu?? Na kama ushawahi chuoni kuna tuition?? Nnachoona ni kwamba hata diploma huna maana ungekua umefika walau diploma usingeeza andika huu ujinga!!
NB: wewe umejiajiri???