Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,176
- 39,937
Wengi katika mahusiano, huanza kwa kupeana namba za simu, na baadaye kuanza kuwasiliana, na hatimaye kuelewana katika mahusiano wanayotaka kuyaanzisha.
Wakati mwingine kupewa namba ya simu imekuwa changamoto; unaweza ukaomba, na ukaishia kuzungushwa tu, na baadaye kutokuendelea kumsumbua muhusika.
Kwa asilimia kubwa, sisi wanaume ndio tunao ongoza kwa kuomba namba za simu, pale unapokuwa umevutiwa na mwanadada aliyeteka moyo wako.
Tatizo linakuja pale, kwenye kupewa namba ya simu; unaweza ukazungushwa kama unasaka ajira vile.
Atataka ajue uwezo wa kipato chako, umaarufu wako n.k, na kama ataona huna hivyo vigezo, unaishia kudharauliwa tu.
Nyie wadada, kwanini mnatuzungusha sisi wanaume hivyo? Hamjui, bila kuwa na mwanaume; unakuwa haujakamilika?
Naishia kusema, tupeni namba zenu za simu bila masharti yoyote.
Wakati mwingine kupewa namba ya simu imekuwa changamoto; unaweza ukaomba, na ukaishia kuzungushwa tu, na baadaye kutokuendelea kumsumbua muhusika.
Kwa asilimia kubwa, sisi wanaume ndio tunao ongoza kwa kuomba namba za simu, pale unapokuwa umevutiwa na mwanadada aliyeteka moyo wako.
Tatizo linakuja pale, kwenye kupewa namba ya simu; unaweza ukazungushwa kama unasaka ajira vile.
Atataka ajue uwezo wa kipato chako, umaarufu wako n.k, na kama ataona huna hivyo vigezo, unaishia kudharauliwa tu.
Nyie wadada, kwanini mnatuzungusha sisi wanaume hivyo? Hamjui, bila kuwa na mwanaume; unakuwa haujakamilika?
Naishia kusema, tupeni namba zenu za simu bila masharti yoyote.