Juma chief
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 2,764
- 2,368
Hapo kwa mimi ambaye nina matatizo ya macho nitakosea njia tu..
.......fanya ukwende ccbrt mkuu......Hapo kwa mimi ambaye nina matatizo ya macho nitakosea njia tu..
.......fanya ukwende ccbrt mkuu..........kumbe mbovu tu!
Miguu ni ugonjwa wako mkuu,?Huyo mdada kavaa gauni ndefu kiasi kwamba mi sioni vizuri
Kuanzia leo humu JF, watu muwe na heshima na nidhamu kuhusu jina la Mwenyezi Mungu, kuna huu msemo watu wamekuwa wanautumia " Mungu anakuona", watu wamekuwa wanaongea bila hata aibu na wengine ni wanaume kabisa utakuta anaongea bila aibu. Katika vitakatifu hasa Biblia Mwenyezi Mungu katika amri zake amekataza kutaja jina lake bure. Sasa hii tabia ya kutaja jina la Mwenyezi Mungu huku unaunganisha na picha za ajabu kama mtoa mada naomba kuanzia leo iwe mwisho na hata Mods tunaomba muwe mnafuta mada zinazokashifu jina la Mwenyezi Mungu.
Hii mkuu, haina uhusiano wowote na pale katikati kwenye jotoridi. Ni matamanio tu lakini HAMNA KITU chochote cha maana.
Huyo mwenye churaa a.k.a inyee anafaa kwa matumizi binafsi

Kitu OG hicho mkuu mchina huwa unalembela kana ule wa sepenga!Mchina au og
Nimempenda huyo mwenye churaaaaa
Safi sana mkuu, Mungu si wa kuhusisha kwenye mambo ya kijinga kama hayoKuanzia leo humu JF, watu muwe na heshima na nidhamu kuhusu jina la Mwenyezi Mungu, kuna huu msemo watu wamekuwa wanautumia " Mungu anakuona", watu wamekuwa wanaongea bila hata aibu na wengine ni wanaume kabisa utakuta anaongea bila aibu. Katika vitakatifu hasa Biblia Mwenyezi Mungu katika amri zake amekataza kutaja jina lake bure. Sasa hii tabia ya kutaja jina la Mwenyezi Mungu huku unaunganisha na picha za ajabu kama mtoa mada naomba kuanzia leo iwe mwisho na hata Mods tunaomba muwe mnafuta mada zinazokashifu jina la Mwenyezi Mungu.
Nitarudi badae