Mnyiramba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,112
- 2,957
Kuna class mate wangu baada ya kumaliza secondary aliamua kwenye kusomea mambo ya kuchora ramani na ujenzi kwa ujumla, basi baada ya miaka kadhaa kupita nikamtumia picha ya nyumba na ukubwa ninaotaka nyumba za vyumba viwili tu sema vile vyumba vya kujinafasi mita 5 kwa 5, baada ya kuichora akanitumia picha na pia nikamwambia anipigie makadirio itachukua matofali mangapi na bati ngapi!
Alivyopiga hesabu akaniambia tofauti 1100 tu mzigo Tayari unaisha! Nikasema maisha si ndio hayo najenga chap chap! Nilichokutana nacho hizo tofali 1000 zimeisha tu kwenye msingi halafu kiwanja ni tambarare!
Hadi nilivyoandika hapa nimekimbia msingi na aliyechora ramani tumegombana hadi urafiki umeisha
Alivyopiga hesabu akaniambia tofauti 1100 tu mzigo Tayari unaisha! Nikasema maisha si ndio hayo najenga chap chap! Nilichokutana nacho hizo tofali 1000 zimeisha tu kwenye msingi halafu kiwanja ni tambarare!
Hadi nilivyoandika hapa nimekimbia msingi na aliyechora ramani tumegombana hadi urafiki umeisha