Hawa manabii wanatufanya wakristo tuonekane hovyo sana
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Sipati picha statement itasomajeNdio Mkuu,baharini kuna pesa nyng mzee,kuzitoa kule mpk kwny miamala ya watu sio rahisi
Wajinga ndiyo waliwao, watu tupo na wageni wa Dubai saa hizi tunachoma kondoo, huko leaders wanakwenda mapoyoyo tu.
Yaani ni mazingaombwe ya uhakikaKwenye harakati za kutumia remote control huku na huku nikaifikia channel ya Clouds nikakutana na tamasha huyu nabii huko viwanja vya leaders Club Dar.
Watu wanapokea miamala ya miujiza kwenye simu zao mmoja apa kapokea 43,000/= mmoja ndo kanikata asee yeye kapokea dola 200M etc
Anachosema huyu Nabii kwamba hizo pesa wanazopokea zimetokana na pesa zinapotea baharini, yeye anazitoa huko anawapa hawa waumini kama muamala, pesa zingine kashika anazigawa ovyo.
200 million? Au ni usd 200?Kwenye harakati za kutumia remote control huku na huku nikaifikia channel ya Clouds nikakutana na tamasha huyu nabii huko viwanja vya leaders Club Dar.
Watu wanapokea miamala ya miujiza kwenye simu zao mmoja apa kapokea 43,000/= mmoja ndo kanikata asee yeye kapokea dola 200M etc
Anachosema huyu Nabii kwamba hizo pesa wanazopokea zimetokana na pesa zinapotea baharini, yeye anazitoa huko anawapa hawa waumini kama muamala, pesa zingine kashika anazigawa ovyo.
😁😁😁😁 Wajinga ndio waliwao... Kipindi Fulani nilipita Zimbabwe, nikaambiwa alifukuzwa Zimbabwe na Mugabe, alifanya mkutano kama huu akagawa hizo miracle Money.. Akaitwa na Mugabe kipindi hicho anasuction uchumi uko down, akamwambia kama Mungu wako Kanagawa hela basi atujazie hela hazina.. Jamaa yakamshinda... Mugabe akamtimua😁😁😁Mi nachek a Sana hasa nikimwangalia Pastor kapola jinsi nilianza kumwamini.. Dah kumbe nae chama la wana wa miujiza hewa.... Dah Kapola umejiharibia Sana Brother...
Kapola ukimsikiliza kwa umakini in btn lines na kama nimsomaji Mzuri wa Neno na Roho mtakatifu yu ndani yako, utamshtukia faster..yule sio mtumishi wa Mungu bali motivational speaker tena wa ule upande mwingine direct kabisaa..ndi maana kuna topics hutamsikia anazigusa hata kwa bahati mbaya..😁😁😁😁 Wajinga ndio waliwao... Kipindi Fulani nilipita Zimbabwe, nikaambiwa alifukuzwa Zimbabwe na Mugabe, alifanya mkutano kama huu akagawa hizo miracle Money.. Akaitwa na Mugabe kipindi hicho anasuction uchumi uko down, akamwambia kama Mungu wako Kanagawa hela basi atujazie hela hazina.. Jamaa yakamshinda... Mugabe akamtimua😁😁😁Mi nachek a Sana hasa nikimwangalia Pastor kapola jinsi nilianza kumwamini.. Dah kumbe nae chama la wana wa miujiza hewa.... Dah Kapola umejiharibia Sana Brother... 😥😥
sio aftatu?Wengne wanakutana na pesa kwny wallet asee noma sana,bi mkubwa kakuta buku 2 kwny wallet
Wakala wa pale BOT200 M ataitolea kwa wakala yupi 🤣
Nmerudi kuangalia vdeo aisee,nkafananisha na miamala ya kwny simu yanguCha kushangaza kuhusu hii miamala, wote wanaoonyesha miamala ukiangalia vizuri utaona wanaweza ku-reply hizo sms wakati Kwa kawaida sms za miamala huwezi kuzijibu
kwanini unampinga?kwani haiwezekani kutumiwa miamala kwenye simu.Tony kapola kajiharibia. Ninmchungaji kijana anayechipukia na tayari alishanza kuaminiwa na mamia ya watu. Lakini kwa tukio hili la leo la pesa za miujiza atabaki na watu wachache Sana hususan wale wenye uwezo mdogo sana wa kuchanganua mambo
Meseji za kwenye miamala yako zinakupa option ya kureply?kwanini unampinga?kwani haiwezekani kutumiwa miamala kwenye simu.