GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,568
- 108,911
Wanaume hawa wanapoenda kununua viwanja hawatuagi, na wakati mwingine ananunua akifariki bahati mbaya unashangaa kumbe wake mko sita wakati unajua uko peke yako" - Sophia Mwakagenda ( Mbunge JMT )
Chanzo: EastAfricaRadio
Wanawake sijui ni kwanini mnakuwa wabishi kulikubali na Kulielewa hili kwamba hakuna Mwanaume Rijali hata akuoe kwa Harusi ya Kifahari hatoweza kuwa na Nyumba Ndogo zake kadhaa.
Kuna Rafiki yangu Mhaya na Muha ( Washamba Watupu ) Mkewe Kamlazimisha Kupanga Nyumba Moja Kijitonyama ambayo kumbe ni ya Mkewe huyo huyo aliyojengewa na Hawara yake ambaye ni ' Boss ' mkubwa katika Shirika Moja la Serikali linaloongoza kuwa na ' Migogoro ' Tanzania nzima.
Yaani GENTAMYCINE nikiona Mwanaume Rijali kabisa ' Kaoa ' halafu hana ' Vinchechede ' nje ( pembeni ) huwa namdharau na hata sitaki awe ' Mshikaji ' wangu vile vile
Na sijui ni kwanini Wanaume wanaoongoza ' Kupelekeshwa ' na Wake zao ni kutoka Mikoa ya Kagera, Singida, Kigoma, Kondoa Dodoma na Ukerewe Mwanza. Huwezi kukuta Mwanamume kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) anafanyiwa ' Upopoma ' wowote na Mwanamke kutoka Tanzania hii Kudadadeki.
Chanzo: EastAfricaRadio
Wanawake sijui ni kwanini mnakuwa wabishi kulikubali na Kulielewa hili kwamba hakuna Mwanaume Rijali hata akuoe kwa Harusi ya Kifahari hatoweza kuwa na Nyumba Ndogo zake kadhaa.
Kuna Rafiki yangu Mhaya na Muha ( Washamba Watupu ) Mkewe Kamlazimisha Kupanga Nyumba Moja Kijitonyama ambayo kumbe ni ya Mkewe huyo huyo aliyojengewa na Hawara yake ambaye ni ' Boss ' mkubwa katika Shirika Moja la Serikali linaloongoza kuwa na ' Migogoro ' Tanzania nzima.
Yaani GENTAMYCINE nikiona Mwanaume Rijali kabisa ' Kaoa ' halafu hana ' Vinchechede ' nje ( pembeni ) huwa namdharau na hata sitaki awe ' Mshikaji ' wangu vile vile
Na sijui ni kwanini Wanaume wanaoongoza ' Kupelekeshwa ' na Wake zao ni kutoka Mikoa ya Kagera, Singida, Kigoma, Kondoa Dodoma na Ukerewe Mwanza. Huwezi kukuta Mwanamume kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) anafanyiwa ' Upopoma ' wowote na Mwanamke kutoka Tanzania hii Kudadadeki.