sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Tuliambiwa huko nyuma na ninyi, Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne
1. watu
2. ardhi
3. siasa safi
4.uongozi bora
sasa leo imetimia miaka 50 ya uhuru Nchi iko ktk giza, hospitali madawa hakuna , shule ni za kata madawati hakuna, akina mama wanajifungulia njiani , barabara mbovu. (gari za wagonjwa uchangie mafuta). TUNAOMBA MYUJUVYE KIMEPUNGUA NINI KATI YA HAYO MANNE ..........?
1. watu
2. ardhi
3. siasa safi
4.uongozi bora
sasa leo imetimia miaka 50 ya uhuru Nchi iko ktk giza, hospitali madawa hakuna , shule ni za kata madawati hakuna, akina mama wanajifungulia njiani , barabara mbovu. (gari za wagonjwa uchangie mafuta). TUNAOMBA MYUJUVYE KIMEPUNGUA NINI KATI YA HAYO MANNE ..........?