Nyie CCM kipi hakipo hapoo......?

sinafungu

JF-Expert Member
Feb 13, 2010
1,524
863
Tuliambiwa huko nyuma na ninyi, Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne
1. watu
2. ardhi
3. siasa safi
4.uongozi bora
sasa leo imetimia miaka 50 ya uhuru Nchi iko ktk giza, hospitali madawa hakuna , shule ni za kata madawati hakuna, akina mama wanajifungulia njiani , barabara mbovu. (gari za wagonjwa uchangie mafuta). TUNAOMBA MYUJUVYE KIMEPUNGUA NINI KATI YA HAYO MANNE ..........?
 
Tuliambiwa huko nyuma na ninyi, Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne
1. watu
2. ardhi
3. siasa safi
4.uongozi bora
sasa leo imetimia miaka 50 ya uhuru Nchi iko ktk giza, hospitali madawa hakuna , shule ni za kata madawati hakuna, akina mama wanajifungulia njiani , barabara mbovu. (gari za wagonjwa uchangie mafuta). TUNAOMBA MYUJUVYE KIMEPUNGUA NINI KATI YA HAYO MANNE ..........?
Subiri uambiwe wewe ni mchochezi, CCM watakuambia kikubwa wanachojivunia ni kudumisha Amani inayoifanya Tanzania kuwa nchi ya mfano. Ukiwauliza Amani maana yake nini? watarudia kukuambia wewe ni mchochezi!!!!!! Sitaki kusikia kitu kinachoitwa CCM
 
Tuliambiwa huko nyuma na ninyi, Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne
1. watu
2. ardhi
3. siasa safi
4.uongozi bora
sasa leo imetimia miaka 50 ya uhuru Nchi iko ktk giza, hospitali madawa hakuna , shule ni za kata madawati hakuna, akina mama wanajifungulia njiani , barabara mbovu. (gari za wagonjwa uchangie mafuta). TUNAOMBA MYUJUVYE KIMEPUNGUA NINI KATI YA HAYO MANNE ..........?

1. Watu wameongezeka from 8mil (1961) to nearly 43 mil (2011)
2. Ardhi bado ile ile baada ya jaribio la Idd Amin Dadaaaa kushindikana kuipunguza. Sana serikali iko busy kuwapa kuwapa wageni ile ardhi yenye rutuba WAWEKEZAJI......
3. Siasa zimeongezeka maana sasa hata kwenye mikutano ya kisiasa mwanasiasa anaruhusiwa kuingia na bunduki na kuionyesha kwa makusudi kabisa na akitoka kula bata usiku ana ruhusa kupiga risasi mbili tatu angani.
4. Uongozi bora ndo usiseme, tumepiga hatua sana, UFISADI uko juu hadi raha, UWAZI kwenye mikataba inasainiwa hadi guest/hotelini huko majuu, UWAJIBIKAJI uko juu maana mtu analiingizia hasara taifa na anasema hang'oki, au analiingizia hasara taifa na anawajibika kwa kujiuzulu tu na kuendelea kutafuna hizo cash..... na mengineyo...

CCM na Tanzania ya miaka 50 oyeeeeeeeee!
 
Back
Top Bottom