Nyerere's best hotuba.

Dawa ya mtu mwenye malalamiko yasiyo msingi ni ndogo tu. Mpe hizo data anazotaka halafu tuone atazifanyia nini.

Umpe kwani yeye hawezi kuzitafuta mwenyewe?

Ukimnyima unampa msemo, anaonekana anachosema kina ukweli ndio maana unamnyima.

Kwa watu walio na ajenda zao hata ufanyeje you are damned if you do and damned if you don't.

Isitoshe, sio kila anayetaka data za dini ni uamsho.

Sawa.

Kuna watu wanataka kufanya research za ku impact public policy.

Then they are free to go and collect their own data.

Serikali ikikataa kuhesabu watu kwa dini inawanyima wasomi hawa data na public policy inadhoofika kwa kukosa input ya wasomi hawa iliyokuwa based on credible census data.

Yaani wewe unaona ni serikali tu ndiyo yenye kuweza ku collect data? Mimi nimeshawahi kufanya kazi kidogo pale ESAURP na tulikuwa tuna collect data kwa ajili ya tafiti mbalimbali.

Na hii ESAURP ni ya wasomi hao hao na ilikuwa ikiongozwa enzi hizo na Prof. Maliyamkono.

Wasomi wasitegemee kila kitu toka serikalini. Wafanye nao tafiti zao zinazotokana na data zao wao wenyewe.

ESAURP
 
MHH Hamna lolote
alikua msemaji mzuri baada ya kuachia ngazi...hii hotuba yeye yupo nje ya ulwa..lakini jee busara hii alikuwa nayo alipo kuwa ndani ya utawala wake? jibu hapana kwani yeye alikuwa mfano wa haya ambayo anayazungumza hapa katika hotuba yake
alikuwa hodari kukosoa wakati yupo nje
hakukubali kukosolewa alipokuwa yeye yupo ikulu
ilikuwa zidumu zidumu wengine mbumbumbu
ama kuhusu udini mzizi wa yote yanayotokea sasa ni yeye ndie aliyepanda
wekeni hotuba zake alipokuwa madarakani
 
Umpe kwani yeye hawezi kuzitafuta mwenyewe?

Kwa sababu yeye hana authority, credibility na resources kama serikali.



Kwa watu walio na ajenda zao hata ufanyeje you are damned if you do and damned if you don't.

Which is more of a reason to show sane people that you do not have a hidden agenda


Sawa.

Then they are free to go and collect their own data.

But I thought the entire rational for not granting their wish is because they are not credible and possibly delusional nutcases with malicious intent, surely you don't want these people to collect data and in the process fuel further divisions in our communities now, do you?



Yaani wewe unaona ni serikali tu ndiyo yenye kuweza ku collect data?

Sio mimi, wasomi wanaofanya research wanasema the most reliable source ni government census.

Mwangalie huyu hapa Hans Rosling: Religions and babies | Video on TED.com

Ukiangalia hii video utajua kwa nini ni muhimu kukusanya habari za dini katika sensa.

Mimi nimeshawahi kufanya kazi kidogo pale ESAURP na tulikuwa tuna collect data kwa ajili ya tafiti mbalimbali.

Na hii ESAURP ni ya wasomi hao hao na ilikuwa ikiongozwa enzi hizo na Prof. Maliyamkono.

Wasomi wasitegemee kila kitu toka serikalini. Wafanye nao tafiti zao zinazotokana na data zao wao wenyewe.

ESAURP

Wasomi wanatoa data zao wenyewe, lakini wanahitaji pa kuanzia.

Surely hutaki wasomi wa reinvent the wheel, hukutaka Profesa afanye sensa nchi nzima kujua idadi ambayo ingeweza kupatikana kirahisi katika sensa?

After all serikali ni pamoja na hizi asasi, watu wamelipa kodi na hizi kodi zinatumika katika sensa.Hii sensa itumike kiufanisi.
 
Zamani sana nilivyokuwa mdogo kulikuwa na m-blue book una mi data ya kila nchi, mi ramani kibao, unaonyesha data za afya, elimu, military spending, dini etc.

Nilikuwa napenda sana kuangalia data za nchi tofauti, lakini kitu kimoja kilinifadhaisha sana.

Kila mara nikiangalia Tanzania, nilikuwa nakuta ina rangi nyeupe na muhuri wa "Data Not Available".

Nikajiuliza kwa nini hii Tanzania kila kitu "Data Not Available"?.

Then nilivyokuwa kidogo nikaanza kusoma vitabu vya maisha ya viongozi, nikawa nasoma maisha ya viongozi wa Ulaya, Asia, Marekani etc.

Nikitafuta vitabu vya maisha ya viongozi wa Tanzania, sivioni.

Kwa nini tuna embrace hii culture ya "Data Not Available"?

Ni kwa sababu it is compatible with totalitarianism or what? Kwamba information is not good for a totalitarian regime?

Kwamba a nanny state inayotaka total control haitataka wananchi wake kujua hata idadi yao kidini kwa sababu wakijua wanaweza kui challenge serikali rightfully kwa kutumia constituency ya dini?

Serikali inaficha nini?
 
Kama dini ina affect sera za uzazi wa mpango, ni muhimu kwa serikali kujua idadi ya watu na mtawanyiko wa watu kwa mujibu wa dini.

Huja address hilo.

Researchers wako UDSM, wanataka kuangalia correlation ya religious affiliation na reproductive rates all over Tanzania ili ku advise public policy, wanahitaji neutral credible data kama za sensa ili kufanya research vizuri.

Serikali imekataa kuhesabu watu kwa dini kutokana na upuuzi wa wachache.

Inakwamisha ufanisi mzima wa sera ya uzazi wa mpango kwa sababu haijakusanya data kwa kuogopa kivuli chake yenyewe.
tanzania hakuna correlation ya dini na kuzaliana bali ya sehemu na sehemu kutokana na elimu, kipato, miundo mbinu , ndio maana ninakwambia growth rate ya population sema mwanza, shy, kigoma, haikuzwi sababu ya dini, au ya lindi na mtwara, halafu kwa sababu ya kuwepo kwa hospitali , idadi ya waliozaliwa inaweza kupatikana huko ndio maana wakati wa Iddi tutaambiwa hospitali fulani watoto 48 walizaliwa, wasichana kadha na wavulana kadha, halafu watu wana hama hama, zamani mwananyamala au kinondoni au magomeni watu wa dini fulani walikuwa wengi lakini si sasa, nenda kimara , halafu hao wenye kuo wake wengi siku hizi ni hadithi, labda uwe tajiri fulani ama sivyo yatakushinda, ukiweza saana ni wake wa wawili na average ya watoto ni wawili wawili at most moja anaweza kuwa na watatu, hivyo maximum ya watano, enzi za Mzee Songambele, Alhaji Mwinyi zimepitwa na wakati, hata Husein Mubarak wa Egypt na mabilione yake alikuwa na Mke Moja, watoto labda watano, sasa itakuwa hawa ma Mwinyi wetu wa Mafia, wakati kulisha familia shida, matokeo yake idadi ya familia kuongezeka ina pungua due to diseases na lishe duni, ndio maana tuna sema hatutangazi dini. bali kipato, elimu na wapo wangapi katika chumba kimoja au viwili au vitano
 
tanzania hakuna correlation ya dini na kuzaliana bali ya sehemu na sehemu kutokana na elimu, kipato, miundo mbinu , ndio maana ninakwambia growth rate ya population sema mwanza, shy, kigoma, haikuzwi sababu ya dini, au ya lindi na mtwara, halafu kwa sababu ya kuwepo kwa hospitali , idadi ya waliozaliwa inaweza kupatikana huko ndio maana wakati wa Iddi tutaambiwa hospitali fulani watoto 48 walizaliwa, wasichana kadha na wavulana kadha, halafu watu wana hama hama, zamani mwananyamala au kinondoni au magomeni watu wa dini fulani walikuwa wengi lakini si sasa, nenda kimara , halafu hao wenye kuo wake wengi siku hizi ni hadithi, labda uwe tajiri fulani ama sivyo yatakushinda, ukiweza saana ni wake wa wawili na average ya watoto ni wawili wawili at most moja anaweza kuwa na watatu, hivyo maximum ya watano, enzi za Mzee Songambele, Alhaji Mwinyi zimepitwa na wakati, hata Husein Mubarak wa Egypt na mabilione yake alikuwa na Mke Moja, watoto labda watano, sasa itakuwa hawa ma Mwinyi wetu wa Mafia, wakati kulisha familia shida, matokeo yake idadi ya familia kuongezeka ina pungua due to diseases na lishe duni, ndio maana tuna sema hatutangazi dini. bali kipato, elimu na wapo wangapi katika chumba kimoja au viwili au vitano

Huyu kashapata jibu kabla ya kufanya research.

Hajui kwamba hata kama anachosema ni kweli, authority na verification ya research bado inatakiwa.
 
Huyu kashapata jibu kabla ya kufanya research.

Hajui kwamba hata kama anachosema ni kweli, authority na verification ya research bado inatakiwa.
nenda hospitali zetu wa idadi ya watoto kuzaliwa kila siku utapata jibu, ukitoka hapo nenda vizazi na vifoo, baada ya hapo kamwangalie Sheik Ponda ana wake wangapi na watoto wangapi, ukimaliza hapo angalia kijana wa sasa hivi anao wake wangapi na ana watoto wangapi, baada ya hapo nenda lindi ukaangalie average number of children in a family, then nenda kasulu au kibondo
 
Uamsho inatisha mpaka watu wanalia "Msalie Mtume" kwa mtume wasomuamini!

:]

JF inapaswa andaa interview ya hawa Uamsho
kama tunavyom interview Dr Slaa ili member tuwaulize maswali
nimesoma sehemu kuwa hawa Uamsho karibu wote Wameenda shule
na wako kama NGO inayo kuwa supported na US Embassy kwenye chaguzi nchi za jirani
wao kama waangalizi kutoka nje....bora waletwe hapa tuwahoji
 
nyerere alishakufa miaka mingi, acheni kumwongelea laumu viongozi wenu na mawazo yenu mgando yakuvisha lawama watu waliokwisha kufa.
Mtaendelea kumlalamikia nyerere na mtabaki na ule msemo wenu pia wa How europe under developed africa, wakati wenzenu kama china ambao nao walitawaliwa sana tu kama nyinyi wanasonga.
Kama mliona nyerere alikosea basi rekebisha maana ni miaka mingi tu toka alipoachia madaraka and he is no more.
Sasa mnachobishana nini kalaumu serikali iliyoko madarakani.
Na kuna uwezekano hata kipengere cha dini kingewekwa kwenye sensa na takwimu zikaja tofauti na mategemeo ya kundi flani kati ya haya mawili, basi kundi ambalo halikupendezwa na hizo takwimu lingedai zimechakachuliwa.
 
nenda hospitali zetu wa idadi ya watoto kuzaliwa kila siku utapata jibu, ukitoka hapo nenda vizazi na vifoo, baada ya hapo kamwangalie Sheik Ponda ana wake wangapi na watoto wangapi, ukimaliza hapo angalia kijana wa sasa hivi anao wake wangapi na ana watoto wangapi, baada ya hapo nenda lindi ukaangalie average number of children in a family, then nenda kasulu au kibondo

Safari zooote hizi ungeweza kabisa kuziondoa kama sensa ingekusanya data za kutosha.

In essence serikali inafanya safari moja kubwa nchi nzima kukusanya data zote, halafu kila anayetaka pa kuanzia anakuja kuanza na hizo data.

Ungeondoa hizo nenda nenda zote. Hata watu walio diaspora wangeweza kucheza na excel spreadsheet kuangalia hali ilivyo nchini.

Wewe umebaki na neda, nenda, nenda katika zama hii ya "let your fingers do the walking"?
 
Hapana. Tungependa kazi serikalini nk zigawanywe kadiri ya wingi wa watu kwenye makabila yetu.

The problem is always when or where to stop.

Kwani kuna makabila mangapi nchini?
 
Ambapo sikubaliani naye ni pale aliposema "kiongozi safi hawezi kutoka nje ya CCM".

Bado naamini kuna Watanzania wengi tu ambao ni wasafi na wenye sifa za uongozi ambao hawapo CCM.

aliposema kiongozi safi ni lazima atoke CCM si unaona sasa chama kinachoamini kuchukua nchi CHADEMA hadi muda huu hakuna mtu wa uhakika wa kusimama uchaguzi ujao . na kama ulivyosikia wamemwomba ndugu SAMUEL SITTA ajiunge nao CHADEMA na agombee nafasi ya URAISI .na baadae unasikia kiongozi wao aliyekuwa anaaminiwa eti anatoa madai kwenye YOUTUBE. hivi kiongozi mgombea uraisi unahutubia tuhuma kwenye YOUTUBE . sasa hapo ndio utakapogundua hakuna kiongozi kwenye upinzani wote ni wababaishaji tu waganga njaa. NYERERE HAPO HAKUKOSEA
 
Kwa msingi huu utajuaje kwamba watu wa Mkoa fulani hawatafanya hivyo hivyo ili ku boost population ya mkoa wao?

Suala la dini ndilo lililoleta changamoto zaidi...hivyo uwezekano wa kupotosha data ulikuwa ni mkubwa. Kwa jinsi wale masheikh walivyokuwa wanashikia bango...uwezekano wa kuwa na agenda nyingine zaidi ya kupata takwimu za kuisaidia serikali kutekeleza mipango yake kwa wananchi ulitamalaki.
 
Suala la dini ndilo lililoleta changamoto zaidi...hivyo uwezekano wa kupotosha data ulikuwa ni mkubwa. Kwa jinsi wale masheikh walivyokuwa wanashikia bango...uwezekano wa kuwa na agenda nyingine zaidi ya kupata takwimu za kuisaidia serikali kutekeleza mipango yake kwa wananchi ulitamalaki.

Kwa maana hiyo ukifikiri kwa msingi huu hutakaa na kuweza kufanya sensa kwa jinsi yoyote ile.

Maana utamuuliza mtu "una watoto wangapi?" atakwambia tisa.

Utakuwa huamini, utamwambia walete niwaone, atakuletea.

Then what? Utatembea na DNA test kit kuwafanyia DNA test ili ujue kwamba wote tisa ni wake kweli?
 
Back
Top Bottom