Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,091
- 136,618
sasa katika vurugu hiyo
mtu mwingine anaweza sema
Sheria za mipango miji zijali dini za watu
mfano mtaa wenye msikiti isiwepo bar
au kama kanisa limetangulia....kusiwepo disco karibu
sasa ili uweze influence yote haya takwimu first...
Sawa, takwimu waende huko kwenye majumba ya ibada watazipata.
Boss wewe dini gani kwani?
Mi nakumbuka mdingi alikuwaga ananipeleka pale kanisa la mtakatifu Petro kwenda kumuona Nyerere...lol. Enzi hizo ilikuwa bonge la dili kumshika mkono rais Nyerere....lol