kwa hiyo Kikwete amefanya mauaji madogo madogo kama ya Arusha? Toa ushahidi wa kuhusu Mkapa
Baada ya Nyerere tumeongozwa na watu ambao uwezo wao walistahili kuwa wabunge ktk majimbo madogo madogo kama ya uchaguzi ya Zanzibar na Pemba! Matokeo ya uongozi wao mbovu tunavuna sasa,umasikini,udini,ukabila,ukanda,nk
Jenerali Kombe na Mauaji ya Zanzibar 2001.. au hukuwepo?? maana yawezekana ulikuwa unanyonya!!