JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,262
miaka 10 sasa tangu muasisi wa taifa letu mzee wetu mwl. JK Nyerere atutoke, katika kipindi hiki ambacho tunakumbuka miaka hiyo je viongozi wetu wanamuenzi huyu mzee kweli, au ndio ameondoka na fikra zake ambazo zingewasaidia hawa viongozi kuiendesha nchi ktk misingi imara.