Nyaronyo Kicheere 'ahamia CCM'

Ni vigumu sana kwa Lumumba BK7 na makada wa CCM kuweza kudadavua na kuilewa lugha ngumu kama aliyotumia Bw. Kicheere.
 
Yani hata wewe umeuweka ubongo wako rikizo? Umeshindwa kabisa kumuelewa Kicheere?

:shock::shock::shock::shock::shock:.....NIMEMWELEWA KULIKO WEYE VILE NAMFAHAMU FIKA.........MIMI NIMEONGEZEA KACHUMBARI TU.......WENGI HAWAKUIONA HIYO POST YAKE NYINGINE AMBAYO MODS WAMEIFUNGA BILA SABABU!!!!
 
Anajifanya kuiga uandishi wa Richard Mabalaa.
 
Ha! Ha! Ha! Ha! Kumbe ccm tamu namna hiyo ! Au ndiyo maana wanalogana ?
 
Nimegundua kuna watu huwa wanasoma vichwa vya habari tu humu JF na kukimbilia ku-comment. Sasa kama mnashindwa kusoma haka ka-paragraph kamoja, je ikiwa habari ndefu si ndiyo mnaipotezea kabisa.
 
Mwandishi Mahiri wa Makala na Mwanasheria wa Jijini Dar es Salaam Nyaronyo Mwita Kicheere amehamia CCM, Chanzo gazeti la -----
Mkuu New Force, jameni hizi avatar nyingine!, muwe na huruma japo kidogo, wengine wenzenu tuu dhaifu, hivyo avatar kama hizi ni kutiana tuu majaribuni!, badala ya concenrate na suject matter unajikuta unaishia kukodolea macho avatar huku mawazo yakikupeleka kwengine!.

Hebu wewe jifikiriea avatar kama hii halafu msomaji post ni mtu wa Kanda ya Ziwa!.



Pasco.
 

Attachments

  • profilepic178729_1.gif.jpeg
    42.4 KB · Views: 94
Ccm inapendwa jamani, tuache utani

Inapendwa sana kwa kuwa inaficha maovu yote,ukiwa na biashara yoyote isiyofuata sheria wewe tundika bandera tuu ya kijani hakuna atakayekugusa
 

🙂🙂....................you cant be serious aisee
 
Kimsingi makala ya Nyaronyo Mwita Kicheere yenye kichwa cha habari " Nimehamia CCM, CHADEMA hakunifai" ambayo ameitoa kwenye gazeti la ----- la leo 20/2/2014 ni makala ya kuwananga viongozi wa CCM na serikali yake. Mifano yote aliyotoa ni kwa lengo la kuonesha kimafumbo namna ambavyo viongozi wa CCM na serikali yake wanavyoshindwa kuchukua hatua kali kwa wafanyao maovu nchini.Kwa mfano tafakari anaposema "Kikwete anafahamu fika kwamba meno ya tembo na vipusa havifiki mjini bila lusafirishwa katika magari ya chama(CCM) na yale ya polisi ambayo hayakaguliwi kwenye vizuizi vya barabarani ndiyo maana kaamua kutoikuchukua hatua na pia kwa kujua wale walionufaika watawekeza nchini".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…