Hiiiii iiii hiiiii iiiiiii inchi iiii bhana! Ngoja nami nijimegee kaeneo ka square meters angalau 600 huku Idukilo!Watoto wa Rais Magufuli na Katibu Mkuu Hazina Bw. Dotto James na Mke wa Mkuu wa Mkoa Dar Bw. Paul Makonda wanaonekana kugawiwa ardhi iliyoporwa kutoka kwa Wananchi DAR. Inasemekana ni ‘syndicate’ kubwa ya Viongozi wa Serikali na CCM kujimilikisha ardhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ufafanuzi tu unatakiwa kutolewa iwapo kweli kuna watu wanalalamika wameporwa hapo ni tatizo lkn pia iwapo nao wanachukua tu na kujilimbikizia ardhi kwa namna iliyo nje ya utaratibu wa Sheria au wanaficha fedha (money laundering) napo ni tatizo!Maelezo ya mleta mada hayajitoshelezi kuonesha namna ardhi ilivyoporwa.
Hivyo kwa wadhifa wa hao watajwa kumiliki ardhi eneo hilo ni jambo la kawaida sana hakuna cha ajabu hapo.
Watu wananunua Villas Oysterbay Sembuse kumiliki ardhi ununio.
Ni wivu tu-Gwajima's voice
Kwenye nyumba za serikali Hawara yake na ndugu yake walinufaika!So ana historia ya wizi wa chini chini!Mbona wamejimegea maeneo makubwa mno. Huwa anajinadi kuwa yeye ni mzalendo kumbe nyuma yake ni mwizi mkubwa. Hakika Tanzania haijapata mzalendo wa kweli.
Inasikitisha
RAIS anapiga dili la kiwanja cha Square meter 728Yesu na maria!
Ufisadi katika sura mpya!Kweli hawa watu wameivana,mpaka viwanja wanagawiana sehemu moja!
Hii ni viwanja tu,deal gani nyingine wamepiga pamoja!
Halafu kuna mtu anahisi Makonda atakuja kutumbuliwa,mtasubiri sana!
Ukiona JPM yuko radhi nchi ikose matrilion ya misaada au mikopo ilimradi tu kumlinda Makonda basi ujue kuna binding force kubwa sana baina yao!
Ndiyo ile scandal ya Sundi? nakumbuka nikiwa Ngw'anza Mujini niliiskia miaka hiyo!Kwenye nyumba za serikali Hawara yake na ndugu yake walinufaika!So ana historia ya wizi wa chini chini!
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Kiwanja cha 800Sq Meters ni sawa na 20X40meters Ni mediam density ty wala si Low Density. Ni vidogo sanaaaa. Hizi ni siasa za majitaka tuMbona wamejimegea maeneo makubwa mno. Huwa anajinadi kuwa yeye ni mzalendo kumbe nyuma yake ni mwizi mkubwa. Hakika Tanzania haijapata mzalendo wa kweli.
Inasikitisha
Kuhonga mbona normal tu kamanda.Kwenye nyumba za serikali Hawara yake na ndugu yake walinufaika!So ana historia ya wizi wa chini chini!
Kwetu CHADEMA kitu kama hicho hakiwezi kutokea hata kidogo.Jurgen Magufuli anasoma Feza, mama yake ni Mnyarwanda.
Huyu Zitto anamililiki maelfu ya viwanja kule Mtwara....na Pwani..
Tulitegemea huyu anayejifanya kupambana na ufisadi yeye awe clean
Tunasubiri vita kati ya ujiji na gamboshi who will winHahaha Zitto anajinadi buchani. Sasa hivi watamtoa nyongo, hawachezewi hao wasukuma. Kwasasa Tanzania ni yao, angesubiri watoke madarakani turudishemali yetu tuwaache masikini kama walivyoingia madarakani.
Watoto wa Rais Magufuli na Katibu Mkuu Hazina Bw. Dotto James na Mke wa Mkuu wa Mkoa Dar Bw. Paul Makonda wanaonekana kugawiwa ardhi iliyoporwa kutoka kwa Wananchi DAR. Inasemekana ni ‘syndicate’ kubwa ya Viongozi wa Serikali na CCM kujimilikisha ardhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa anapambana na ufisadi asingemtoa Assad,uhujumu uchumi ni fimbo ya kuwachapia wasio na chapa usoniTulitegemea huyu anayejifanya kupambana na ufisadi yeye awe clean