Nyambibo sio kwa mkorogo huu

Nyambibo sio kwa mkorogo huu

sikuwahi kujua hapo kabla ktk miisho yote ya dunia kuwa nawewe ni shilawadu lililokubuhu!
nafikiri uliipata kwenye viringe vyako vya ulozi!,maana sikuhizi wavaa tunguli mmestaarabika mambo ya kisasa si haba mnakuja vizuri.

hata hivyo waswahili husema nyani haoni kundule,hebu tuwekee na ya mkeo lkn utoe tahadhari chini ya miaka 18 wasiiangalie maana watoto nawafahamu kwa ndoto watadamka nakusema wameona mzungu juu mwafrika miguuni.
 
Analysis ya Professor Button kutoka Tolabora Mountain Womanology and Chemical reaction University.
Huu mkorogo tunauita Komando machozi na unapatikana kwa kuchanganya Manganese IV Oxide na Bongo fleva solvent.Ila hauna madhara japo kwa Mara kwanza ukiona unatisha.
Kwa maswali niandikie kwa email butrontolabora@hotmail.terrorism
 
Huyu naye kuachwa kumemfanya akili ipotee kabisa. Bora ulivyokuwa mke wa mtu ulikuwa na busara sasa unahangaishwa na vitoto ona ulivyokuwa kama jini mahaba. Nani kakudanganya umependeza?
Ni hiviiii hujapendeza umejikoroga kweli kweli... jipange upya
Black is Beauty
 
Harakati za kukimbizana na muda, 😀😀 ila inafika muda muda ukikutupa mkono hata ujipige msasa wapii
1527546_1087923107905892_1265163296_n.jpg
 
sikuwahi kujua hapo kabla ktk miisho yote ya dunia kuwa nawewe ni shilawadu lililokubuhu!
nafikiri uliipata kwenye viringe vyako vya ulozi!,maana sikuhizi wavaa tunguli mmestaarabika mambo ya kisasa si haba mnakuja vizuri.

hata hivyo waswahili husema nyani haoni kundule,hebu tuwekee na ya mkeo lkn utoe tahadhari chini ya miaka 18 wasiiangalie maana watoto nawafahamu kwa ndoto watadamka nakusema wameona mzungu juu mwafrika miguuni.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji615] [emoji35] [emoji615] [emoji115] [emoji115]
 
Tangu aache kukojozwa na me captain ni kama kachanganyikiwa hivi yaani haeleweki
Umenena kweli mkuu, siku hizi hata maneno yake ni ya ovyo ovyo wakati alikuwa na busara ya malezi.
 
Back
Top Bottom