snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
habari ndugu,
kuna stori nimesikia eti kwamba wasabato hawali nyama,na wanatengeneza nyama zao artificial za unga wa ngano,na flavour iko kama ya nyama,fibre kama nyama,almost kila kitu,je hiii ni ya kweli? pia nasikia wao ni tofauti katika kushiriki chakula cha bwana(ekaristi) kwamba wanakunywa juice na maandazi,je kuna ukweli wowote kuhusu hili au ni stori nyoka tu?natanguliza shukrani zangu
kuna stori nimesikia eti kwamba wasabato hawali nyama,na wanatengeneza nyama zao artificial za unga wa ngano,na flavour iko kama ya nyama,fibre kama nyama,almost kila kitu,je hiii ni ya kweli? pia nasikia wao ni tofauti katika kushiriki chakula cha bwana(ekaristi) kwamba wanakunywa juice na maandazi,je kuna ukweli wowote kuhusu hili au ni stori nyoka tu?natanguliza shukrani zangu