Mtoboasiri JF-Expert Member Aug 6, 2009 5,101 1,949 Dec 27, 2013 #2 Hiyo kula mwenyewe na hao ulionao hapo!
kadakokigondile JF-Expert Member May 17, 2013 1,872 634 Dec 27, 2013 #4 Mtoboasiri said: Hiyo kula mwenyewe na hao ulionao hapo! Click to expand... Taaamu!!!
S Sugar-a Senior Member Feb 6, 2012 132 22 Dec 30, 2013 #9 Huyo dogo hata kuua mtu nahisi anaweza,ujasiri uliovuka boda.
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,557 86,159 Dec 30, 2013 #10 Hapo hata mbu elfu moja wamuume hapati malaria
W wa hapahapa JF-Expert Member Aug 22, 2012 7,454 4,376 Dec 26, 2015 #11 sio supu ya nyoka tu ndio maarufu nchini china. hata afrika nao wamo. x-mass njema & heri ya mwaka mpya wanaJF wote.
sio supu ya nyoka tu ndio maarufu nchini china. hata afrika nao wamo. x-mass njema & heri ya mwaka mpya wanaJF wote.
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,562 9,555 Dec 26, 2015 #12 Sugar-a said: Huyo dogo hata kuua mtu nahisi anaweza,ujasiri uliovuka boda. Click to expand... hahahaha mkuu dogo kakandamiza kichwa bila hofu
Sugar-a said: Huyo dogo hata kuua mtu nahisi anaweza,ujasiri uliovuka boda. Click to expand... hahahaha mkuu dogo kakandamiza kichwa bila hofu
W wa hapahapa JF-Expert Member Aug 22, 2012 7,454 4,376 Dec 26, 2015 #13 Kingsharon92 said: hahahaha mkuu dogo kakandamiza kichwa bila hofu Click to expand... pengne kinaliwa hadi kichwa...
Kingsharon92 said: hahahaha mkuu dogo kakandamiza kichwa bila hofu Click to expand... pengne kinaliwa hadi kichwa...
mtwa mkulu JF-Expert Member Sep 11, 2013 8,098 9,995 Dec 26, 2015 #14 Dogo alokandamiza kichwa ndo balaa zaidi
Mwl.RCT JF-Expert Member Jul 23, 2013 13,610 18,688 Dec 26, 2015 #17 cc: Kibo10 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,562 9,555 Dec 26, 2015 #19 wa hapahapa said: pengne kinaliwa hadi kichwa... Click to expand... Mkuu dogo ni shida ila mimi nionavyo utamu uko kwenye mkia
wa hapahapa said: pengne kinaliwa hadi kichwa... Click to expand... Mkuu dogo ni shida ila mimi nionavyo utamu uko kwenye mkia