Nyama kilo mtaani kwenu bei gani?

Nyama kilo mtaani kwenu bei gani?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,396
Huku Goba kwetu nyama kilo ni 13000 na ile ya Grade one steki ni elfu 15

Kwenu bei ipoje?

Asante Daktari Samia hakika unaupiga mwingi kwani ulipoingia Nyama kilo ilikua 5000 sasahivi ni elfu 15 samia hoyee

Mitano tena ili nyama ifike elfu 50 kilo!?

Kwenu bei ipoje?
 
Watu
Huku Goba kwetu nyama kilo ni 13000 na ile ya Grade one steki ni elfu 15

Kwenu bei ipoje?

Asante Daktari Samia hakika unaupiga mwingi kwani ulipoingia Nyama kilo ilikua 5000 sasahivi ni elfu 15 samia hoyee

Mitano tena ili nyama ifike elfu 50 kilo!?

Kwenu bei ipoje?
Watu wa dar mnaishi kwa taabu sisi huku mikoani kilo 5,600
 
Huku Goba kwetu nyama kilo ni 13000 na ile ya Grade one steki ni elfu 15

Kwenu bei ipoje?

Asante Daktari Samia hakika unaupiga mwingi kwani ulipoingia Nyama kilo ilikua 5000 sasahivi ni elfu 15 samia hoyee

Mitano tena ili nyama ifike elfu 50 kilo!?

Kwenu bei ipoje?
Nilikimbilia Kijijini kikajua kuna nafuu.....Stake 14k, Mchanganyo 12k
 
Tanzania ina ng'ombe wengi ila ina pungufu ya ng'ombe bora wa nyama.

Nlikuwa unsettled na hii bei kupanda, baada ya kuongea na muuza bucha mmoja akasema, mama aluvyofungua mipaka, ng'ombe wakazidi kuadimika maana walikuwa wengi wanakuwa exported nje of which ni nzuri sema effect yake ndo imesababisha bei imepanda domestically.

So its an opportunity for beef farmers locally, utajiri nje nje, kuna shortage kwenye supply chain ya beef
 
Back
Top Bottom