Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 4,209
- 7,779
Supply & demand
Nyama nyama nyamaaa....nyamaaaaWatu
Watu wa dar mnaishi kwa taabu sisi huku mikoani kilo 5,600
Na beii hii itakua IRinga..maana huko mna mbuzi wenu wa kahawia tupuWatu
Watu wa dar mnaishi kwa taabu sisi huku mikoani kilo 5,600
Mkoa upi huo?Watu
Watu wa dar mnaishi kwa taabu sisi huku mikoani kilo 5,600
Huku kujijini ambako Ng'ombe ndio zinatoka huku ni elfu 12Mkoa gani huo,Mwanza ni sh 9,000/ mpaka sh 10,000/
Niko njianiHuku Goba kwetu nyama kilo ni 13000 na ile ya Grade one steki ni elfu 15
Kwenu bei ipoje?
Asante Daktari Samia hakika unaupiga mwingi kwani ulipoingia Nyama kilo ilikua 5000 sasahivi ni elfu 15 samia hoyee
Mitano tena ili nyama ifike elfu 50 kilo!?
Kwenu bei ipoje?
ShinyangaMikoani wapi taja huko. bei ya nyama kilo sh. 5600