Kwa members wenzangu mnaoishi dar,si vibaya tukishare information ya sehemu ninayoweza kupata nyama choma nzuri iwe bar au hotel ndani ya jiji letu hasa ikizingatiwa na leo ni week end..
JF where information meet the Destination...
Karibu kila stendi ya basi kuna mishkaki flani ianuzwa mia mia na pilipili matata sana, nadhani ushapata pa kwenda.
Kila la heri mkuu...
https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/603771-mishkaki-ya-tsh-100-dar-3.html
Kwa members wenzangu mnaoishi dar,si vibaya tukishare information ya sehemu ninayoweza kupata nyama choma nzuri iwe bar au hotel ndani ya jiji letu hasa ikizingatiwa na leo ni week end..
JF where information meet the Destination...
Hii ni ya vibudu paka mbwa etc
Karibu kila stendi ya basi kuna mishkaki flani ianuzwa mia mia na pilipili matata sana, nadhani ushapata pa kwenda.
Kila la heri mkuu...
https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/603771-mishkaki-ya-tsh-100-dar-3.html
kwa members wenzangu
mnaoishi dar,si vibaya tukishare information ya sehemu ninayoweza kupata
nyama choma nzuri iwe bar au hotel ndani ya jiji letu hasa ikizingatiwa
na leo ni week end..
Jf where information meet the destination...
Fyatanga Boko,
Mama K makoka