Nyalandu atuma kikosi kazi kumaliza nyoka wa Koboko Urambo

babu yangu aliniambia zamani walikua wanatembea na chungu chenye uji wa moto sana kichwan kwan koboko wana mtindo wa kukaa juu ya mti na ukipita tuu anagonga kwenye utosi... sumu yake ni kali sana wataalam wanasema ndan ya dakika kumi usipopata huduma ya kwanza basi umeenda... so u can imagine uko shambani hizo dakika kumi utapata wap huduma
 
Huo utaalamu wa wadudu aina ya maji moto pale SUA wanao. Wanawapandikiza ktk miti ya machungwa, miembe n.k. nyoka hakatizi, wanasepa huku wakitii sheria bila shuruti.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

vipi madhara ya hao wadudu kws binadamu!
 
Huyu NDIO KOBOKO AU BLACK MAMBA

SIFA ZAKE..

It is the longest species of venomous snake in Africa,
the second-longest venomous snake in the world after the King cobra
It is also the fastest moving snake in Africa
one of the fastest moving snakes on the planet
The black mamba is considered the most dangerous and feared snake in Africa
capable of moving at 11 km/h (6.8 mph) over a distance of 43 m (141 ft).
 
Ni kweli nyoka aina ya Koboko ni hatari lakini tukio ili limekuzwa kwani wenyeji ( locals) wanajua mbinu za ku-deal nao. Wengine tumekulia huko Urambo na tulifundishwa mbinu za ku-deal nao tangu tukiwa wadogo. Kuna msukuma Fulani kijiji cha Kamalendi Kata ya IFUTA ni mtaalam sana wa hawa wadudu. Badala ya kuhangaikaa kikosi cha majangili wangetumia local resources
 
Duuh! Hawa nyoka si maliasili yetu, kwa nini wauwawe, si wawakamate na kuwaweka Snake Park.
Hata hivyo, Nakumbuka kule Singida, Wilayani Iramba katika Gereza la Kazi la Ushora, Koboko aliwauwa wafungwa 15 in 3 minutes askari magereza akafanikiwa kumpiga risasi. Sumu yake ni Neurotoxic yaani inashambulia cell za fahamu na mishipa ya fahamu kwa ujumla and causes instant DEATH. Face KOBOKO Face DEATH.
 
Lakini mbona wanadai siyo mkorofi? Wanadai ni hadi umkorofishe, la sivyo akishaona kuna mzozo yeye Koboko anakimbia. Au ni stories tu za Wazungu wanatuzingua?

mkuu koboko hapendi kabisa kelele na mara nyingi anakaa msituni sn, koboko akikuona huwa anajihami kwani anajua utamletea zengwe! Sasa hapo kwenye kujihami ndo anaweza akakimbia au akasimama wima kukutisha na ukitikisika tu lazima akupe mambo!

Ndo maana nilikwambia kusimama kunahitaji ujasiri na pia uhai wako unategeme huruma yake sisi akisimama tulikuwa tunasema anakupima urefu. Koboko kukukimbia ni mara chache sn na akikimbia huwa haendi mbali so usilogwe kumfuatilia kwani huyu ni km askari wa msituni anaweza akakujeruhi muda wowote!!

Mkuu huyu kiumbe ni bora umsikie, kuna stori nyingi juu ya huyu kiumbe na wazee wanatwambia ukimkuta kwenye shamba la bangi huwa anakuwa mkorofi zaidi na wao wakamhusisha kuwa anavuta bangi japo inasemekana huwa anakula mbegu za bangi.

Nadhani nimekujibu mkuu!
 
kuhusu kuishi kwenye mashamba ya bangi na kuwa thamini watunzaji wa hilo shamba kuna ukweli wowote hapa kuhusu huyu kiumbe koboko???

mkuu hizo stori zipo lkn ukweli ni kwamba huwa anakula mbegu za bangi km chakula so wanahusisha kuwa zinamvuruga akili na kumpa kujiamini km alivyobinadamu mvuta bangi.

Ni kweli ukimkuta kwenye shamba la bangi sio rahisi kumtoa ni aheri umuache atoke mwenyewe!
 
mkuu koboko hapendi kabisa kelele na mara nyingi anakaa msituni sn, koboko akikuona huwa anajihami kwani anajua utamletea zengwe! Sasa hapo kwenye kujihami ndo anaweza akakimbia au akasimama wima kukutisha na ukitikisika tu lazima akupe mambo!

Ndo maana nilikwambia kusimama kunahitaji ujasiri na pia uhai wako unategeme huruma yake sisi akisimama tulikuwa tunasema anakupima urefu. Koboko kukukimbia ni mara chache sn na akikimbia huwa haendi mbali so usilogwe kumfuatilia kwani huyu ni km askari wa msituni anaweza akakujeruhi muda wowote!!

Mkuu huyu kiumbe ni bora umsikie, kuna stori nyingi juu ya huyu kiumbe na wazee wanatwambia ukimkuta kwenye shamba la bangi huwa anakuwa mkorofi zaidi na wao wakamhusisha kuwa anavuta bangi japo inasemekana huwa anakula mbegu za bangi.

Nadhani nimekujibu mkuu!

Umenijibu mkuu.

Ahsante sana.
 
Duuh! Hawa nyoka si maliasili yetu, kwa nini wauwawe, si wawakamate na kuwaweka Snake Park.
Hata hivyo, Nakumbuka kule Singida, Wilayani Iramba katika Gereza la Kazi la Ushora, Koboko aliwauwa wafungwa 15 in 3 minutes askari magereza akafanikiwa kumpiga risasi. Sumu yake ni Neurotoxic yaani inashambulia cell za fahamu na mishipa ya fahamu kwa ujumla and causes instant DEATH. Face KOBOKO Face DEATH.

To South African locals the Black Mamba bite is known as the "Kiss of Death".

Hatari sana.
 
Kaka Morphine hao wanaenda kula posho na matunda pori tu hasa yanayoitwa nhondwa maana ndo msimu wake huu. Huyo nyoka ni mtalaamu wa kusoma mazigira hakuna mfano. Usiku hutoa kichwa shimoni na kuanza kupiga kelele kama msuguano wa msumeno wa kukatia mbao usiotumia umeme. Nyoka hao huhama wenyewe kila pori linapokuwa linafyekwa (uharibifu wa mzigira unapofanywa hasa ukataji miti). Hakuna watakachofanikiwa labda wapige mabomu kama yale ya Syria au kuteketeza miti yote hasa aina ya "migobeko" ambayo ndio beach zake koboko. Mie nilicheka sana baada ya kumuona Nyalandu akiwahadaa wana Urambo. Njia nyingine ya kienyeji ni pamoja kumuuita Koboko kwa style ya mluzi ukiwa umetengeneza banda la miti ya kijani japo na imani za dawa za kienyeji hutumika. Wakati tukiwinda ndege kwa style ya mluzi koboko alikuwa anatuibukia mara kwa mara lakini ujasiri wa kupambana nae ulikuwa unatoweka na kila mtu kutelekeza ndege na koboko anajilia na kusepa zake. Ni kama hadithi lkn amini usiamini. Kwanza dawa kama hizo waliokuwa nazo washaaga dunia na mara nyingi zilikuwa zinapatikana kwa Wagoyangi (malenga wa ngoma za kucheza na nyoka)

kumbe hata Tz tunakabila la watu wanaoweza kucheza ngoma na nyoka yani kiasilia achana na yale mazingara show, ndio wanaitwa Wagoyangi. We mkali sana.
 
mkuu hizo stori zipo lkn ukweli ni kwamba huwa anakula mbegu za bangi km chakula so wanahusisha kuwa zinamvuruga akili na kumpa kujiamini km alivyobinadamu mvuta bangi.

Ni kweli ukimkuta kwenye shamba la bangi sio rahisi kumtoa ni aheri umuache atoke mwenyewe!

Nakumbuka niliwahi kusoma kwenye gazeti la Mwananchi,mkulima aliekutwa amekufa shambani kwake Mkoani Tabora.Pembeni akakuktwa huyo Koboko nae akiwa karudisha namba (kafa).Sasa wananchi wa kawaida wakawa wanajaribu kuvuta taswira la huo mpambano baina ya huyo nyoka na mkulima.Mkuu, jamaa yangu mmoja kutoka Kigoma anawajua hao viumbe na alikuwa akinihadithia sana tabia zao, karibu mengi uliyosema hapa ndio jamaa alikuwa akiyaelezea kuhusu wao.Alikuwa anasema na usikie tu, lkn hao nyoka sio.Kuna siku aliniambia ikitokea kwa bahati mbaya kaingia ndani huwa hatulii, kila anachokiona anakigonga kwa hiyo kama mtaalam wa hao viumbe unajua humu ndani mshikaji kaingia, hii ni kweli?
 
Back
Top Bottom