Divele Dikalame
Member
- May 4, 2010
- 77
- 12
safari ya waziri Nyalandu nchini afrika kusini akiongozana na mwenyekiti wa Kamatiya maliasili na mazingira bwana Lembeli na Sarakikya kwa mintarafu ya makubaliano na African Parks Network kuipatia uendeshaji wa Mbuga ya katavi Kikao kimekwenda harijojo baada ya waziri Nyalandu kuwaambia wazi makaburu hao ya Kuwa ni vigumu kuwapa dhamana Hiyo,Hali iliyomfanya Lembeli kujisikia vibaya sana Kwani yeye ni Memba bodi ya APN ikumbukwe Hawa APN wametimuliwa nchini Sudan na Ethiopia sababu ya ubabaishaji wao.