MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,038
- 2,224
Sasa nini kilimpeleka huko?
Nyarandu! Ni tatizo na yaonekana hajui anachofanya. Hakustahili hata kusikiliza wazo kama hilo. Hakustahili hata kwenda huko SA! Au alidhani kuna chochote mfukoni.
Nasikia yule profesa aliyemfukuza na kutangaza kila chombo cha habari, karudi ofisini kama kawaida na ndiye Mkurugenzi wa idara ya wanyama pori. Yule aliyemuweka sijui kapelekwa wapi!