NW Katambi: Wapinzani wanataka Tume Uuru ya Uchaguzi kwa sababu tu huwa wanashindwa kwenye kura za Urais

Naibu waziri Katambi amesema Wapinzani wanadai Tume huru kwa sababu mara zote wamekuwa wakishindwa kwenye kura za urais lakini hawana sababu zozote za msingi.

Katambi ni Wakili msomi kama mh Tundu Lisu na amewahi kuwa mwenyekiti wa Bavicha na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema huku akiwa ni mwajiriwa wa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza katika kampuni yake ya Sahara media.

Katambi alikuwa akihojiwa na mtangazaji Midle wa ITV.

Mahojiano kamili yatarushwa katika kipindi cha Dakika 45 jumatatu.
Hawa Wabunge wa Magufuli wajiandae.... 2025 hawarudi bungeni. Ubunge unarudi kwa Masele waliyemzulumu.
 
Naibu waziri Katambi amesema Wapinzani wanadai Tume huru kwa sababu mara zote wamekuwa wakishindwa kwenye kura za urais lakini hawana sababu zozote za msingi.

Katambi ni Wakili msomi kama mh Tundu Lisu na amewahi kuwa mwenyekiti wa Bavicha na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema huku akiwa ni mwajiriwa wa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza katika kampuni yake ya Sahara media.

Katambi alikuwa akihojiwa na mtangazaji Midle wa ITV.

Mahojiano kamili yatarushwa katika kipindi cha Dakika 45 jumatatu.
😍
 
Kwa hiyo yeye hataki Tume Huru Ya Uchaguzi?😅😅😅
Huyo katambi ni bidhaa tu iliyonunuliwa na magufuli hao ccm wenyewe hawana imani nae Indio maana hata kwenye jura za maoni hakupita alipitishwa kwa nguvu na mmiliki wake yaani magufuli na katika uchaguzi ndio kabisa akatangazwa kwa nguvu za bwana yake magufuli sasa tuone kama hao ccm watampitisha uchaguzi ujao kugombea hilo jimbo.
 
Huyo katambi ni bidhaa tu iliyonunuliwa na magufuli hao ccm wenyewe hawana imani nae Indio maana hata kwenye jura za maoni hakupita alipitishwa kwa nguvu na mmiliki wake yaani magufuli na katika uchaguzi ndio kabisa akatangazwa kwa nguvu za bwana yake magufuli sasa tuone kama hao ccm watampitisha uchaguzi ujao kugombea hilo jimbo.
hahaha kweli.
 
Naibu waziri Katambi amesema Wapinzani wanadai Tume huru kwa sababu mara zote wamekuwa wakishindwa kwenye kura za urais lakini hawana sababu zozote za msingi.

Katambi ni Wakili msomi kama mh Tundu Lisu na amewahi kuwa mwenyekiti wa Bavicha na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema huku akiwa ni mwajiriwa wa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza katika kampuni yake ya Sahara media.

Katambi alikuwa akihojiwa na mtangazaji Midle wa ITV.

Mahojiano kamili yatarushwa katika kipindi cha Dakika 45 jumatatu.
Hiki kipindi hakina mtu wa kuuliza maswali, yule mama huwa yupo yupo aige kwa Aloyce Nyanda
 
Hawa vitu maalu wana shida sana , thinking yake ndio imeishia hapo, usitegemee jipya hapo
 
Shibe nayo wakati mwingine humfanya mtu afikiri kwa kutumia tumbo na miguu.Ndio shida ya wanasiasa wetu wengi;ni wanafiki mno.
 
Huyu kijana ni mwanafuzi wangu o'level, I feel ugly to have invested knowledge to this guy. Kipindi anafanya field ya sheria almost alikuwa anashinda nyumban kwangu tuna socialize, I came to realise he was a naturalisitic body of a system even before joining Chadema, nilibaki kuwashangaa Chadema, niliwaambia watu flan kwamba Chadema hawajui wanalolifanya kuwa na huyu dogo
Na kwa kuwa chadema Kuna nyumbu wakampa Hadi uenyekiti wa bavicha
 
Naibu waziri Katambi amesema Wapinzani wanadai Tume huru kwa sababu mara zote wamekuwa wakishindwa kwenye kura za urais lakini hawana sababu zozote za msingi.

Katambi ni Wakili msomi kama mh Tundu Lisu na amewahi kuwa mwenyekiti wa Bavicha na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema huku akiwa ni mwajiriwa wa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza katika kampuni yake ya Sahara media.

Katambi alikuwa akihojiwa na mtangazaji Midle wa ITV.

Mahojiano kamili yatarushwa katika kipindi cha Dakika 45 jumatatu.
Hilo takataka liambieni likapige mswaki kwanza ndio lije liongee na wanachi! Bure kabisa!
 
Naibu waziri Katambi amesema Wapinzani wanadai Tume huru kwa sababu mara zote wamekuwa wakishindwa kwenye kura za urais lakini hawana sababu zozote za msingi.

Katambi ni Wakili msomi kama mh Tundu Lisu na amewahi kuwa mwenyekiti wa Bavicha na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema huku akiwa ni mwajiriwa wa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza katika kampuni yake ya Sahara media.

Katambi alikuwa akihojiwa na mtangazaji Midle wa ITV.

Mahojiano kamili yatarushwa katika kipindi cha Dakika 45 jumatatu.
Aseme na sababu za kushindwa kwao ni uchafuzi ufanywao kwa usaidizi wa dola na vyombo vyake saidizi,anavijua vyema,na asitake tumsaidie kuvitaja.Zaidi ni kuwa mnufaika wauou, hawezi kuona tena maovu zaidi ya manufaa atarajiayo au ahapatayo
 
Back
Top Bottom