Kwa nini unapenda sana Kitonga? Mwishowe utasokomezwa kitu kwa nyuma mpaka utembelee magoti!Machadema huwa yanajiingiza mdomoni mwa mamba yakienda kenya kwa uzazi!
Hata kwa Sabaya?Hizi Mahakama zenye kupokea maagizo kutoka juu, ndio kipimo kwako?
Nyarandu alimgaragaza Lisu kwenye kamati kuu chademaHahahahahaha.., ww unachekesha kweli. Yaani unamlinganisha Katambi na Tundu Lissu kwenye taaluma ya Uwakili? Ajabu sana. Ni sawa na kulinganisha kichuguu na Mlima Kilimanjaro, Wallah!!!
Nyie mlishajifia kwenye siasa kwasasa tunashindana na dola sio ccm tenaChadema kinapendwa na mateja.
Wanachama wake wengi wako Manyanya Togo na Ufipa st!
Kama wewe ulivyosokomezwa na Safari Prof!Kwa nini unapenda sana Kitonga? Mwishowe utasokomezwa kitu kwa nyuma mpaka utembelee magoti!
Ndiyo! Huoni anavyolelewa!Hata kwa Sabaya?
🤣🤣🤣Watakutoa utumbo!Kama wewe ulivyosokomezwa na Safari Prof!
Wote ni mawakili wasoma wakili mbumbumbu anakuwaje
Nyarandu sio KatambiNyarandu alimgaragaza Lisu kwenye kamati kuu chadema
Naibu waziri Katambi amesema Wapinzani wanadai Tume huru kwa sababu mara zote wamekuwa wakishindwa kwenye kura za urais lakini hawana sababu zozote za msingi.
Katambi ni Wakili msomi kama mh Tundu Lisu na amewahi kuwa mwenyekiti wa Bavicha na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema huku akiwa ni mwajiriwa wa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza katika kampuni yake ya Sahara media.
Katambi alikuwa akihojiwa na mtangazaji Midle wa ITV.
Mahojiano kamili yatarushwa katika kipindi cha Dakika 45 jumatatu.
Hakunaga mtu mwenye domo type yake mwenye akili,huo ubunge wake ni sawa na viti maalumu tuNaibu waziri Katambi amesema Wapinzani wanadai Tume huru kwa sababu mara zote wamekuwa wakishindwa kwenye kura za urais lakini hawana sababu zozote za msingi.
Katambi ni Wakili msomi kama mh Tundu Lisu na amewahi kuwa mwenyekiti wa Bavicha na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema huku akiwa ni mwajiriwa wa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza katika kampuni yake ya Sahara media.
Katambi alikuwa akihojiwa na mtangazaji Midle wa ITV.
Mahojiano kamili yatarushwa katika kipindi cha Dakika 45 jumatatu.
Hahahaaaa...... Wewe alikutoa kongosho!🤣🤣🤣Watakutoa utumbo!
Yeye ndio alikataliwa na CCM akawa namba 6Anamaanisha kuwa CCM hawataki tume huru ya uchaguzi kwasababu huwa wanashinda kwa wizi wa kura.
Ndio maana gwajiboy alikataa kutumia mic za ajabu Sasa Kama hii iliyotumiwa na utambi wa koroboi itakuwa na hali gani jamaniNaibu waziri Katambi amesema Wapinzani wanadai Tume huru kwa sababu mara zote wamekuwa wakishindwa kwenye kura za urais lakini hawana sababu zozote za msingi.
Katambi ni Wakili msomi kama mh Tundu Lisu na amewahi kuwa mwenyekiti wa Bavicha na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema huku akiwa ni mwajiriwa wa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza katika kampuni yake ya Sahara media.
Katambi alikuwa akihojiwa na mtangazaji Midle wa ITV.
Mahojiano kamili yatarushwa katika kipindi cha Dakika 45 jumatatu.
Naibu waziri Katambi amesema Wapinzani wanadai Tume huru kwa sababu mara zote wamekuwa wakishindwa kwenye kura za urais lakini hawana sababu zozote za msingi.
Katambi ni Wakili msomi kama mh Tundu Lisu na amewahi kuwa mwenyekiti wa Bavicha na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema huku akiwa ni mwajiriwa wa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza katika kampuni yake ya Sahara media.
Katambi alikuwa akihojiwa na mtangazaji Midle wa ITV.
Mahojiano kamili yatarushwa katika kipindi cha Dakika 45 jumatatu.