Mkuu ugumba si impotent, unapiga mzigo kama kawaida ila huwezi kutungisha mimba ama kuzalisha. tukapime sie ambao hatujapata watoto ili tusije ibiwa hapo baadaeMimi sijaelewa ugumba maana yake nini "impotent"? au ni kitu gani
Mkuu ugumba si impotent, unapiga mzigo kama kawaida ila huwezi kutungisha mimba ama kuzalisha. tukapime sie ambao hatujapata watoto ili tusije ibiwa hapo baadae
Kweli watoto mlionao wakwenu?
Ndiyo !
Watoto ni wetu,
kwa maana kama mimi mbegu zangu unfertilised or unproductive, na jirani yangu akam'mega mke wangu na mimba ikapitikana kupitia mbegu za jirani na jirani yangu ni Mtanzania (si raia wa nje)
Ndiyo kusema mtoto atakua wa Kitanzania !
Hivyo inafuta kauli yako kwenye Headin' ya Thread ! Kwamba waTz wengi wagumba!
Kawapime kama ni wa kiuno yako..Nimeshapiga 2 hii habari hata hainiumizi kichwa
Kitanda hakizai haramu.Kawapime kama ni wa kiuno yako..
Kekundu hako kaka....kekunduuuuuu...kanaumaaaaa!!!!
Kitanda hakizai haramu.