Opaque
JF-Expert Member
- Oct 24, 2008
- 1,359
- 719
Sasa kama ulipata nafasi jumapili, nini kilikushinda kwenda kujiandikisha? Tunapenda haki, lakini hatuwajibiki! Basi tusilalamike kuwa kuna uongozi mbovu, kwa kuwa ni sisi ndio tumewaachia watu wengine watuchagulie viongozi hao!...natoka nyumbani saa moja kamili kurejea ni saa tatu usiku, jumapili tu ndio napata nafasi tena mchana!