Nusu nikose ndege leo hii

Kusini pride

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,762
Reaction score
4,071
Bwana yesu asifiwe
Wakuu Leo bwana nusu nikose ndege ya qatar Airways ya kuelekea qatar.

Wakuu kweli hii ilitaka kuwa aibu ya karne milionea kama mimi nikose ndege? Ila chap nikawapigia makao makuu ya shirika la qatar chap ikanisubiria Kenya uwanja wa moi ndipo mimi nikapanda precision air asubuhi ndipo nikaikuta nikapanda zangu.

Akbar al Baker ni rafiki yangu those days kipindi kile kablahajawa ceo wa qatar Airways alikuwa mkuu wa uwanja wa hamad International Airport lakini akbar ametoboa kunizidi mimi japo mimi pia ni kamilionea japo nina vijisent hapa mjini kwasababu ni share holder wa qatar foundation nina pesa za kutosha I have a lot o money you know it!

You know milion in pocket
 
Wewe utakuwa tu le mutuz. Le jeur. Le misifa ya kijinga.

Six wasted decades on planet earth.

King Kong III
 
Hapo uko jalala la wapi
 
Wewe naona una pesa haswa. Kidukulilo atasubiri sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ