Bro niaje? Sorry nilikuwa na shida japo ni nje ya madaKuwa na website
Kuwa na nyaraka zote muhimu za biashara
Kuwa na duka
Wasiliana nao
Karibu tena, Hebu tujuze kuhusu kodi nitachajiwa % kwa bidhaa itakayoingia nchini. Na bado sijaona sehemu inayoonyesha kuwa bidhaa hii ipo registered au lah! lastly, option ya shipping ambayo ni cost less lakini yenye uhakikaNaomba mniwie radhi nilipata dharura ya msiba lakini tumemaliza salama na nimerejea
Tofauti ya registered parcel na unregistered unregistered ni thamani ya mzigo
Muuzaji ili kuepuka hasara ya kulipa pindi mzigo ukipotea basi huamua kuuandikisha na kulipa kodi zote muhimu ili iwe ni rahisi kuufiatilia popote duniani (tracking)
Hivyo basi vifurushi vya pesa kubwa huwa registered na vile vya pesa kidogo hupotezewa
Kuhusu kodi register parcel zote hazina kodi ila parcel nyingine kodi yake ni kati ya 2100 na 5000Karibu tena, Hebu tujuze kuhusu kodi nitachajiwa % kwa bidhaa itakayoingia nchini. Na bado sijaona sehemu inayoonyesha kuwa bidhaa hii ipo registered au lah! lastly, option ya shipping ambayo ni cost less lakini yenye uhakika
Good! Kujua bidhaa zilizokuwa registered najuaje?Kuhusu kodi register parcel zote hazina kodi ila parcel nyingine kodi yake ni kati ya 2100 na 5000
Usafiri wa fasta ni Singapore couriel ..ila ukitaka wa kulipia kuna DHL nk
Tumia mastercard mkuu.Tengeneza m pesa mastercard au airtel master card .mda wa kulipia unaingiza namba za kadi yako then pesa itakatwa.Wadau msaada naomba kujuzwa njia za ulipaji wa bidhaa kupitia aliexpress
Okay asante. Kwa iyo nikifika pale hatua ya ku confirm payment na choosee mastercard thwn natupia namba za master cardTumia mastercard mkuu.Tengeneza m pesa mastercard au airtel master card .mda wa kulipia unaingiza namba za kadi yako then pesa itakatwa.
Hakikisha wakati huo umeweka pesa kwenye kadi yako.