Ahsantte kwa angalizo ulilotoa.Wanasema link ambazo hazina s mwisho si salama (http ) pendelea zenye "s" mwisho meaning h=hyper
t=text
t=transfer
p=protocal
s=secured
so ,zote zinazokosa herufi "s" usidiriki kutoa taarifa zako za siri utalia siku moja share na wengine cio trusted web sites
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Hiki kitu hakipo.waweza nisaidia namna ya kuweka pesa katika Paypal a/c kwa kutumia transaction ya Mpesa, Tigo pesa or Airtel Money... au hii huduma haipo ktk matumizi ya Paypal...
Hili linawezekana iwapo tuKama kuna namna yoyote ingine ya kufanya transaction kwa kutumia simu kununua au kulipia huduma za online tafadhali naomba unisaidie...
TZS 948,934.13Mwl ,naomba niangalizie hii kitu nipe gharama zake mpaka nakuwa nayo mkononi
In Stock ZTE Nubia Z11 mini S 4G LTE 5.2" MSM8953 Octa Core 2.0GHz 4GB 64GB 1920X1080 Dual SIM 23.0 MP Fingerprint Mobile Phone Amazon product ASIN B01M2AIS5N
TZ 2,906,250Mkuu nahitaji hii tv...mpaka inifikie total cost itakuwa bei gani?
Samsung - 55" Class (54.6" Diag.) - LED - 1080p - Smart - HDTV - Black
Sahihi kabisa.Mbona gharama imekuwa kubwa mno mkuu? Au shipping cost ndo kubwa?
Ndio ndugu. Inawezekana.
Nitumie link ya hiyo item kwenye PM, nami nitakupa ghalama.
Karibu.