Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

View attachment 511495
[1] Aliapay ni njia ya malipo iliyosalama kama ilivyo kwa Paypal etl - Ni baada ya kuthibisha kuwa umepokea mzigo ndipo seller anapewa fedha yako.
- Ili kuepuka kuingiza taarifa zako za kadi ya benki kila ufanyapo malipo, unatakiwa ku_add/link card yako alipay, yaani kama ulivyo link kadi yako na paypal.

[2] Aliexpress ni salama, rejea maelezo ya [1] hapo juu, piaukiangalia picha hapo juu, nimenunua bidhaa kwa zaidi ya mara 240, na mizigo yote imefika. Mizigo saba natarajia kupokea ndani ya wiki 1 -2

[3] Mizigo yote inafika.

- Sijawahi kukutana na hili swala la kulipia mzigo nairobi.
- Utalipiwa vipi mzigo nairobi wakati uko njiani kwenda nchi nyingine husika??
Mkuu naomba maelezo jinsi ya ku-link Alipay. je nayenyewe unachukua code bank?
Mkuu ukitupia na snipping tool nitashukuru sana.
 
upload_2017-6-1_7-13-46.png

upload_2017-6-1_7-11-25.png

upload_2017-6-1_7-13-20.png


Utalipia TZS 466,923
 
Mwl sijapata feedback
habari
Nimemtumia ujumbe tena seller. Bado hajajibu.
Iwapo utapata seller mwingine niulishe.
Kwa alibaba wanakubali kwa order kuanzia 3sets
Code:
http://www.handvietnam.com/kubota-combine-harvester-dc-35.html
Karibu
 
78 Reactions
Reply
Back
Top Bottom