haki na usawa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 481
- 135
Watanzania tumeonwa na viongozi wetu kama midoli angalia alivyosema waziri mkuu anataka kutoa uamuzi mgumu na kile alichokuja kuuongea
Watanzania sisi ni mavuvuzela na midoli ya kuchezeshwa akili kwasasa watu wote katika vyombo vya habari na shughuli zimekwama na hakuna wa kuona anapoteza kufuatilia siasa sa Tanzania
"Siasa za Tanzania ni kama ndoto za Alinacha au hadithi za Pwagu na Pwaguzi"
"HAKUNA CHOCHOTE KITACHOTOKEA ZAIDI YA WATU KUPOTEZA PESA/MUDA KWA KUANGALIA/KUFUATILIA KATIKA VYOMBO VYA HABARI NA KAMA IKITOLEWA AWEZA KUWA MMOJA/WAWILI NA BAADA YA MUDA ATAPANGIWA KAZI NYINGINE ILI ASIWE MWENYE KUPOTEZA" NA KAMA BARAZA LOTE LIKIVUNJWA NANI AWEZA CHAGULIWA? KAMA HAO NDO AFADHLI MIONGONI MWA WENGI na kumbuka mawaziri na manaibu wako 60/wabunge wa CCM na wengine ni Wenyeviti wa bunge wa kudumu na wengine wakuu wa mikoa. USISHANGAE MAWAZIRI KUBADILISHIWA WIZARA MAANA HAO NDO AHUENI KATIKA ULAJI KULIKO WALIKO NJE YA UWAZIRI
Watanzania sisi ni mavuvuzela na midoli ya kuchezeshwa akili kwasasa watu wote katika vyombo vya habari na shughuli zimekwama na hakuna wa kuona anapoteza kufuatilia siasa sa Tanzania
"Siasa za Tanzania ni kama ndoto za Alinacha au hadithi za Pwagu na Pwaguzi"
"HAKUNA CHOCHOTE KITACHOTOKEA ZAIDI YA WATU KUPOTEZA PESA/MUDA KWA KUANGALIA/KUFUATILIA KATIKA VYOMBO VYA HABARI NA KAMA IKITOLEWA AWEZA KUWA MMOJA/WAWILI NA BAADA YA MUDA ATAPANGIWA KAZI NYINGINE ILI ASIWE MWENYE KUPOTEZA" NA KAMA BARAZA LOTE LIKIVUNJWA NANI AWEZA CHAGULIWA? KAMA HAO NDO AFADHLI MIONGONI MWA WENGI na kumbuka mawaziri na manaibu wako 60/wabunge wa CCM na wengine ni Wenyeviti wa bunge wa kudumu na wengine wakuu wa mikoa. USISHANGAE MAWAZIRI KUBADILISHIWA WIZARA MAANA HAO NDO AHUENI KATIKA ULAJI KULIKO WALIKO NJE YA UWAZIRI