Nundu kutangaza kujiuzuru kwake?

Nundu kutangaza kujiuzuru kwake?

Status
Not open for further replies.

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
Kutoka Dodoma Hotel chanzo changu cha habari kina nijuza kuwa waziri wa usafirishaji ameitisha press conference sijui anataka kuwaambia nini watanzania...
tegeni sikio nitawajuza kitakachoendelea....
=======================
Updates
Anasema bado anatafakari kuhusu hatma ya uwaziri lakini ame claim kuwa innocent. kamtuhumu naibu waziri wake na kamati miundombinu kuwa ilikula rushwa issue ya bandari.....
 
waiting....
Press Conference saa ngapi (nahisi atakuwa anajibu tuhumu na kuelezea kwamba anasingiziwa na hajatenda kosa lolote)
 
Waruke wageuke watatudanganya saaana na kutuibia sanaaa lakini siku itafika Bwana wa majeshi atawastaafisha na wataondoka na sanda kwende kujibu mbele yake.
 
Kutoka Dodoma Hotel chanzo changu cha habari kina nijuza kuwa waziri wa usafirishaji ameitisha press conference sijui anataka kuwaambia nini watanzania...
tegeni sikio nitawajuza kitakachoendelea....

Tupe habari Kiongozi najua huwa haubahatishi.
 
hakuna wa kujiuzulu! Vasco amerudi toka safarini na kuwakingia kifua, kifuatacho ni nkumuondoa yeye!!
 
Nahisi atakuwa anajibu tuhuma alizoshindwa kujitetea jana bungeni. Alionekana anakubaliana na uamuzi wa kufanya feasibility study na chombo kingine. Ni suala la muda tu, tutajua.
 
Tunasubiri kwa hamu kusikia hicho anachotaka kusema, but everyone can predict:target:
 
Nundu tayari kaandika barua ya kujiuzuru lkn nasikia JK kasema no! Hivyohivyo kwa Mponda na Chami.
Mh! Ukweli ni huo.
 
'mishkaki ya Nundu tamu sana nikiipata for lunch itakuwa safi sana'
 
Kutoka Dodoma Hotel chanzo changu cha habari kina nijuza kuwa waziri wa usafirishaji ameitisha press conference sijui anataka kuwaambia nini watanzania...
tegeni sikio nitawajuza kitakachoendelea....

Arusha Mambo wako wapi waturushie live?
 
Mbona askari wetu hawajafika dodoma kuuwa haya majambazi kama yale yalioripotiwa kuuwa dar na kigoma?
 
Kutoka Dodoma Hotel chanzo changu cha habari kina nijuza kuwa waziri wa usafirishaji ameitisha press conference sijui anataka kuwaambia nini watanzania...
tegeni sikio nitawajuza kitakachoendelea....

isije ikawa chanzo chako ni mpishi? atakupotezea credibility yako jf
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom