Nukuu za mwalimu Nyerere

Nukuu za mwalimu Nyerere

Kutudanganya kaoteshwa kuna vita kati ya nchi na nchi kumbe kaaangalia kwenye Tv.eti tv ni anasa wakati ye ana tv
 
Kutudanganya kaoteshwa kuna vita kati ya nchi na nchi kumbe kaaangalia kwenye Tv.eti tv ni anasa wakati ye ana tv
 
Ni Eleven Years After, tangu Mwl atutoke. Wanajamvi hebu yeyote anayekumbuka nukuu yoyote alioitoa Mwalimu katika hotuba zake aiweke hapa jamvini.


Mojawapo ni hii: '' Mtu aliyejiandikisha kupiga kura, halafu siku ya Uchaguzi haendi kupiga kura, Huyo ni Mpumbavu'' JK Nyerere
NUKUU ZA BABA WA TAIFA
 
Nia tunayo, sababu tunayo, na uwezo tunao wa kumpiga
 
Ni Eleven Years After, tangu Mwl atutoke. Wanajamvi hebu yeyote anayekumbuka nukuu yoyote alioitoa Mwalimu katika hotuba zake aiweke hapa jamvini.


Mojawapo ni hii: '' Mtu aliyejiandikisha kupiga kura, halafu siku ya Uchaguzi haendi kupiga kura, Huyo ni Mpumbavu'' JK Nyerere
Zimbabwe ya Mugabe na Uganda ya M7?
 
Huyu mzee nukuu zake tunajionea na aliyoyazungumza
 
naomba mnaokumbuka vema mnikosoe ila nakumbuka kuna mahali aliandika kama si kusema "Uhuru bila nidhamu ni fujo, na nidhamu bila uhuru ni ubeberu"

Kuna nyingine ni ya kiingereza siikumbuki vizuri kwa anayeijua atuwekee kwa faida ya wengi ...ila ni kama inasema "It is teachers more than any other single group of people in a society who determines and shapes the attitudes of people...."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom