Nukuu za mwalimu Nyerere

Nukuu za mwalimu Nyerere

Inabidi wenye nafasi watengeneze kitabu cha Nukuu za Mwalimu.Wengine tunamuenzi kwa maneno tu ilikufurahisha genge
 
Kila mtu anamazuri yake na mabaya yake kikubwa ni Faida alizotuachia na Wahuni wanavyofanya hii leo kama hakuna lolote wanaloogopa kwa Umma wetu
 
Alimaanisha kuwa in makosa kwa wananchi kunyamaza kimya na kufikiri kuwa viongozi watakemeana wao kwa wao katika maovu yao.
 
Education is not a way of escaping poverty, it is a way of fighting it.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom