Nyerere alikuwa mu-wazi sana na hata ikafikia akaongelea kuhusu CCM kuwa hicho chama kwa sasa kina '‘kansa ya Uongozi ambapo isipotibiwa itakiua chama kizima" na akathubutu hata kusema anatamani kuona chama kingine cha upinzani kitakachoweza kukiondoa madarakani,ila akasema hadi sasa bado hajaona chama kingine na kwa hiyo pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama chochote ilimradi tu watokane na kansa ya uongozi wa CCM.
Wosia wa Baba wa Taifa.
Ole wako Tanzania ;
Tusipoisaidia!
Niwezalo Nimefanya,
kushauri na kuonya,
Nimeonya Tahadhali,
Nimetoa ushauri,
Nimeshatoka kitini,
Zaidi nifanye nini?
Namlilia Jalia
Atumlikie njia
Tanzania ailinde
waovu wasiivunje
Nasi tumsaidie
Yote tusiya mwachie
Amina tena Amina
Amina Tena na Tena.
:dance: