Nimejaribu kuzitafakari quotes za Mzee Mkapa na kugundua ni quotes zilizokuwa na maana kubwa sana.
Hazikuwa quotes za kisiasa, kikanjanja na za kulaghai wananchi bali zilijaa ukweli na uhalisia.
Tujikumbushe kidogo hizo quotes
1. Ukweli na Uwazi
2. Mtaji wa Maskini ni Nguvu Zake
mwenyewe
3. Sala na Kazi
Hakika tumepoteza kiongozi mahiri aliyewahi kutokea katika Taifa hili.
Tunamshukuru Mungu kwa zawadi aliyotupa ya kupata bahati ya kuongozwa na Mzee Mkapa🙏
Asante sana Mzee Mkapa🙌
Hazikuwa quotes za kisiasa, kikanjanja na za kulaghai wananchi bali zilijaa ukweli na uhalisia.
Tujikumbushe kidogo hizo quotes
1. Ukweli na Uwazi
2. Mtaji wa Maskini ni Nguvu Zake
mwenyewe
3. Sala na Kazi
Hakika tumepoteza kiongozi mahiri aliyewahi kutokea katika Taifa hili.
Tunamshukuru Mungu kwa zawadi aliyotupa ya kupata bahati ya kuongozwa na Mzee Mkapa🙏
Asante sana Mzee Mkapa🙌