Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,718
- 45,125
Wahuni WachacheKienyeji ni yale mambo ya mzee Mpili.
Hivyo amesema ukweli.
Hiyo nafasi ya 88 wamefika lini ?? .. wapo nafasi ya 175 kama sijakosea ..Wanaendesha timu kienyeji, wanachojua wao ni kusajili kwa kelele tu, baada ya hapo kimya, utasikia mchezaji fulani hajalipwa mshahara, mara wengine wanalalamika wamesuswa hawalishwi vinono kama wachezaji wanaotoka nje...
Yamekuwa hayo tenaUto wapo sahihi kupiga chini hiki kibabu.!
Kibabu kipi mpili au ntibazonkiza ??..Uto wapo sahihi kupiga chini hiki kibabu.!
Mwamba kafunguka mara baada ya kutemana na Yanga, Wana Yanga msijifiche kwenye stori za Bilioni 20 za Mo, kwanini klabu yenu inaendeshwa kienyeji?
View attachment 1875332
View attachment 1875333