Pia unaweza kutumia torrent.Hii ni njia rahisi zaidi kwani huingii gharama za kuapload.Ingawaje utatakiwa uwe online muda wote mpaka atakapomaliza kudownload....
Nifree of charge just download bittorrent..install kisha kuna mahala panaonyesha drug and drop your file...kisha fuata maelekezao ikishamaliza itakupa link..copy na mtumie hata kwa chat facebook..akiifungua basi anavuta mzigo kutoka kwenye computer yako..ila naye lazima ainstall hako kaprogrammeanko kwahyo hii torent natakiwa kuwa na account au! Ni free ktk application zake?