charminglady unataka uwe nao wangapi? wewe si ni Bujibuji jamani? Mwache Mentor aendelee na kumtafuta wa kumfaaNipo hapa Mentor
Hiki Kizungu jamani.... Kha! Imenibidi nisome nikiwa karibu na feni na kipande cha barafu mdomoni. Hakyamungu!
Hiki Kizungu jamani.... Kha! Imenibidi nisome nikiwa karibu na feni na kipande cha barafu mdomoni. Hakyamungu!
Mentor too much theories bana just amua and utaona.
hivi huoni dada zako jamani tunavyoish ama unafikiri tuliondoka home na akili za mama ama mama yetu ndo alilea kwa maadili pekee??
charminglady unataka uwe nao wangapi? wewe si ni Bujibuji jamani? Mwache Mentor aendelee na kumtafuta wa kumfaa
Ndo nini hiki? Tueleweshane aiseee..mi naona maandishi tu!
Shindwaaaa.... tena shindwa kwa jina lako. Ndo nini kutaka kunipeperushia ndege wangu???