Ntakufaje mzima?

Ntakufaje mzima?

Jamer winner

Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
22
Reaction score
2
Daktari mmoja alikuwa mlevi mpaka ikabidi apelekwe kwenye sektarieti ya maadili na mahojiano yalikua hivi; kiongozi:kwanini unalewa kwa kiwango hicho wakati unajua madhara ya pombe! daktari:asante sana,hivi unajua wote tutakufa sasa kwanini nife na mapafu na maini mazima?
 
mmmh... huyu sidhani kama alikuwa daktari ila muhudumu wa Mochwari!!!
 
Back
Top Bottom