mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Zamani ilikuwa kawaida kusikia hizi kauli kutoka kwa wasomi wengi wa elimu ya juu...
Private muajiri anabana sana...
Serikalini Kuna muda mwingi wa kufanya mambo yako...
Pia Kuna semina semina visafari Yani mtu hutumii mshahara wako...
Mambo yanapowekwa Sawa ni ajabu kushangaa kuona mtu anamshangaa anaelia hali mbaya kwa Misingi ya heading hapo juu...
Angalau watanzania wote tunaamshwa kuyaangalia maisha katika nyuzi 360.
Nawaza tu, tafadhali nisipondwe mawe...
Private muajiri anabana sana...
Serikalini Kuna muda mwingi wa kufanya mambo yako...
Pia Kuna semina semina visafari Yani mtu hutumii mshahara wako...
Mambo yanapowekwa Sawa ni ajabu kushangaa kuona mtu anamshangaa anaelia hali mbaya kwa Misingi ya heading hapo juu...
Angalau watanzania wote tunaamshwa kuyaangalia maisha katika nyuzi 360.
Nawaza tu, tafadhali nisipondwe mawe...