NSSF, NPF na mashirika kama haya Hayasaidii wadau

Zing

JF-Expert Member
Jun 24, 2009
1,767
470
Mashirika kama NSSF, NPF na mengine kama hayo yanakusanya pesa wafanyakazi. Lakini kwa mshangao na masikitiko sioni mashirika haya kama yanasaidia wananachi zaidi ya kujinufaisha yenyewe .

Wafanyakazi mara baada ya kustaafu hawafaidiki kabisa na mashirika haya sababu pesa wanayopokea ni ndogo sana.sijui mtu anayepokea mshahara kama wa 300,000 kwa mwezi akistaafu atapata shilingi ngapi kwa mwezi. Naomba hili swali kwa wanajua watijibu.

Napendekeza wadau na serikali kwa ujumla tuwabane hawa NSSF wajenge nyumba mjini na mikoni na waziuze kwa bei nafuu kwa wafanyakazi. Badala ya kujenga maghorofa makubwa ya kupendezesha mji huku masiha ya wadau yakiwa hayabadiliki.


Miji mingi inayopendeza kama capetown na hata ulaya imepangika na inapendeza sababu mashirika kama haya ya NSSF hayatafuti miradi tu ya kupata faida haraka lakini yalenga kuinua maisha ya watu

NSSF ijenge nyumba kila mkoa za kuuzia wafanyakazi
 
You are not serious, kajipange upya uje na kitu kinachoingia akilini. Ikiwa umeshindwa kujua NSSF na NPF ni shirika moja itakuwa ni vigumu sana kujadiliana na wewe somo zito kama hilo.
 
You are not serious, kajipange upya uje na kitu kinachoingia akilini. Ikiwa umeshindwa kujua NSSF na NPF ni shirika moja itakuwa ni vigumu sana kujadiliana na wewe somo zito kama hilo.

Msamehe ndio post yake ya kwanza.
nawe mgumu kuelewa kama huyu mgeni wetu hakuna shirika NPF limekufa 1998.
pia hajui kuwa issue sio kukaa na michango bali kuINVEST ili zile pesa zikiwepo.
Mabibo kuna hostel za NSSF kwa siku shiling mia mbili watoto wa masikini wanafaidika nazo.

aende chuo kikuu cha Dodoma aone kazi za michango ya wanachama invyofanya kazi.
hakuja na data za kutosha kwani hajui shirika linafanya nini.
 
You are not serious, kajipange upya uje na kitu kinachoingia akilini. Ikiwa umeshindwa kujua NSSF na NPF ni shirika moja itakuwa ni vigumu sana kujadiliana na wewe somo zito kama hilo.

Masatu,
Msamehe ndugu yetu si wote wanajua kila kitu. Inawezzekana alitaka kusema PPF akakosea akaandika NPF. Hii ni JF tunasaidiana kueleweshana pale unapoona mwezako kakosea.
 
zing,
nenda dodoma,uone hawa jamaa wanaifanya nini UDOM!
 
zing,
nenda dodoma,uone hawa jamaa wanaifanya nini UDOM!

Sawa jamaa kakosea, lakini kwa upande mwingine jamaa ana pointi, kwanini haya mashirika tunaishia kusikia yanawakopesha kina Mbowe, Sumaye, n.k, kwanini haya wakopeshi wafanyakazi wanao yachangia hadi yakawepo?

kwa mfano, kwanini wasianzishe mikopo ya riba nafuu kwa riba ya asilimia 5-10 kwa wanachama wao, kuliko wanavozidi kukamuliwa riba ya 20-37 na mabenki?

Haya mashirika yanamsaidiaje mwanachama kabla ya kustaafu apate unafuu wa maisha? by theway kila mtu anafurahia maisha akiwa na umri unao lipa, sasa hiyo hela hawakupi mpaka dakika za lala salama, hata nguvu za kukimbizana kuanzisha mradi wa vitumbua huna!

Nadhani bado wanaweza kufanya mpango mzuri wa kuwasaidia wanachama kuliko ilivo sasa.
 
Mashirika kama NSSF, NPF na mengine kama hayo yanakusanya pesa wafanyakazi. Lakini kwa mshangao na masikitiko sioni mashirika haya kama yanasaidia wananachi zaidi ya kujinufaisha yenyewe .

Wafanyakazi mara baada ya kustaafu hawafaidiki kabisa na mashirika haya sababu pesa wanayopokea ni ndogo sana.sijui mtu anayepokea mshahara kama wa 300,000 kwa mwezi akistaafu atapata shilingi ngapi kwa mwezi. Naomba hili swali kwa wanajua watijibu.

Napendekeza wadau na serikali kwa ujumla tuwabane hawa NSSF wajenge nyumba mjini na mikoni na waziuze kwa bei nafuu kwa wafanyakazi. Badala ya kujenga maghorofa makubwa ya kupendezesha mji huku masiha ya wadau yakiwa hayabadiliki.


Miji mingi inayopendeza kama capetown na hata ulaya imepangika na inapendeza sababu mashirika kama haya ya NSSF hayatafuti miradi tu ya kupata faida haraka lakini yalenga kuinua maisha ya watu

NSSF ijenge nyumba kila mkoa za kuuzia wafanyakazi

Kwanza unajua kuna Pension funds ngapi Tanzania?

Je unaweza kutuonyesha performance zao zikoje?

Then nashangaa kichwa chakocha habari umesema NSSna PPF lakini lawama umeamua kuzimwaga NSSF lakini hukutia neno kuhusus PPF kulikoni?

Mimi niko tayari kujadiliana nawe kuhusu hili lakini liwe based on DATA and STATS kusupport arguments au unasemaje?
 
Sawa jamaa kakosea, lakini kwa upande mwingine jamaa ana pointi, kwanini haya mashirika tunaishia kusikia yanawakopesha kina Mbowe, Sumaye, n.k, kwanini haya wakopeshi wafanyakazi wanao yachangia hadi yakawepo?

kwa mfano, kwanini wasianzishe mikopo ya riba nafuu kwa riba ya asilimia 5-10 kwa wanachama wao, kuliko wanavozidi kukamuliwa riba ya 20-37 na mabenki?

Haya mashirika yanamsaidiaje mwanachama kabla ya kustaafu apate unafuu wa maisha? by theway kila mtu anafurahia maisha akiwa na umri unao lipa, sasa hiyo hela hawakupi mpaka dakika za lala salama, hata nguvu za kukimbizana kuanzisha mradi wa vitumbua huna!

Nadhani bado wanaweza kufanya mpango mzuri wa kuwasaidia wanachama kuliko ilivo sasa.


Unauliza maswali huku humo humo unatoa hoja zisizo na data

kwanza hebu elewa kila shirika linavyofanyakazi kisha njoo utuletee drawbacks zao ..lakini lete supporting data

hapo tunaweza kwenda mbali na mjadala huu otherwise itakuwa yale yale ya hadithi za kutafutana uchawi ambao haupo
 
Unauliza maswali huku humo humo unatoa hoja zisizo na data

kwanza hebu elewa kila shirika linavyofanyakazi kisha njoo utuletee drawbacks zao ..lakini lete supporting data

hapo tunaweza kwenda mbali na mjadala huu otherwise itakuwa yale yale ya hadithi za kutafutana uchawi ambao haupo

Unataka supporting data zipi? nimetaja mifano ya wanao kopeshwa, which means ndivyo wanavyo fanya kazi, na nikaweka pendekezo kwamba kwanini basi usiwepo mpango maalumu wa kuwakopesha wanachama kwa riba nafuu?

Labda wewe kama unadata za kuonyesha kwamba kuna program hizo tayari ndo ulete kuonyesha kwamba maoni yangu hayana mshiko.

Ama ueleze basi kwamba maoni yangu hayo yanamapungufu gani?

Lakini kwa mtazamo wangu bado naona hayo mashirika yanaweza kufanya vyema zaidi kwa kuwapunguzia makali ya maisha wanachama wake badala ya kugawa pesa zao kwa wenye nazo kwa mgongo wa kuwakopesha ambao kimsingi huwa hawalipi!
 
Unataka supporting data zipi? nimetaja mifano ya wanao kopeshwa, which means ndivyo wanavyo fanya kazi, na nikaweka pendekezo kwamba kwanini basi usiwepo mpango maalumu wa kuwakopesha wanachama kwa riba nafuu?

Labda wewe kama unadata za kuonyesha kwamba kuna program hizo tayari ndo ulete kuonyesha kwamba maoni yangu hayana mshiko.

Ama ueleze basi kwamba maoni yangu hayo yanamapungufu gani?

Lakini kwa mtazamo wangu bado naona hayo mashirika yanaweza kufanya vyema zaidi kwa kuwapunguzia makali ya maisha wanachama wake badala ya kugawa pesa zao kwa wenye nazo kwa mgongo wa kuwakopesha ambao kimsingi huwa hawalipi!

La hasha wewe ndio umeleta hoja sasa tuletee evidence kusupport claims zako
 
Udhaifu mkubwa katika mashirika haya ni RUSHWA ILIYOVUKA MIPAKA kwenye idara ya prucurement!
iwe NSSF,LAPS,PSPF,NPF,au whatever 'wameshikwa sana na wachina katika ujenzi',and what they are doing my friend is 'a big sin',ninaifanyia mchanganuo ili isiwe too technical kila mtu aelewe kwa upeo wake na achangie

kwenye ujenzi kuna rushwa za ajabu sana!mchina yupo tayari kumuwekea procurement director hata mil 500 ili ampe mradi.

tunarudi kule kule..........NJAA!
 
Udhaifu mkubwa katika mashirika haya ni RUSHWA ILIYOVUKA MIPAKA kwenye idara ya prucurement!
iwe NSSF,LAPS,PSPF,NPF,au whatever 'wameshikwa sana na wachina katika ujenzi',and what they are doing my friend is 'a big sin',ninaifanyia mchanganuo ili isiwe too technical kila mtu aelewe kwa upeo wake na achangie

kwenye ujenzi kuna rushwa za ajabu sana!mchina yupo tayari kumuwekea procurement director hata mil 500 ili ampe mradi.

tunarudi kule kule..........NJAA!


Mzee lete data na mimi niko tayari kuzungumzia mambo ya ujenzi

ipo thread ya REAL ESTATE in DAR nimezungumzia mpaka SUMAR VARMA
 
Hahaa.. am out, but I am sure they can ameliorate in favour of their members!

ahhh shekhe badi tunakukhitaji humu wewe njoo na data then tuzinyambue kujua ipi ni ipi lakini kama umeamua kuanza then i respect your decision as a man

peace
 
Mzee lete data na mimi niko tayari kuzungumzia mambo ya ujenzi

ipo thread ya REAL ESTATE in DAR nimezungumzia mpaka SUMAR VARMA
wanachokifanya nihivi,
kwenye tender document,ile part ya bill of quantities wao wana inflate some items,let's take concrete work ikiwa ni 20cubic meter,wao wanaandika 200000cubic meter kwenye vitabu mtakavyonunua ninyi mtakaonyimwa kazi,yule ambaye watampa kazi wanampa document sahihi,tena wanampa na drawings ili aweze ku-revise quantities zake.then wanamwambia awawekee hela yao pale hata milioni mia mbili,kiasi kwamba hata akiiweka bado atakuwa lowest bidder.iliwahi tokea miradi ya LAPF dodoma,kampuni moja ilikuwa second lowest lakini kapishana na the lowest bidder kwa milioni mia tano,KWA PROJECT TANO,na zote zilifunguliwa pamoja,siku moja,na lowest wote walikuwa chinese.yaani walihakikisha kuwa hata wakituita kwenye negotiation TUKATAE WENYEWE,sababu sio rahisi mtu akatoa discount ya milioni 500,bora umuache aliyekuwa lowest aendelee!

UMENISOMA KAKA?
 
Kwanza unajua kuna Pension funds ngapi Tanzania?

Je unaweza kutuonyesha performance zao zikoje?

Then nashangaa kichwa chakocha habari umesema NSSna PPF lakini lawama umeamua kuzimwaga NSSF lakini hukutia neno kuhusus PPF kulikoni?

Mimi niko tayari kujadiliana nawe kuhusu hili lakini liwe based on DATA and STATS kusupport arguments au unasemaje?

and two! ...
 
wanachokifanya nihivi,
kwenye tender document,ile part ya bill of quantities wao wana inflate some items,let's take concrete work ikiwa ni 20cubic meter,wao wanaandika 200000cubic meter kwenye vitabu mtakavyonunua ninyi mtakaonyimwa kazi,yule ambaye watampa kazi wanampa document sahihi,tena wanampa na drawings ili aweze ku-revise quantities zake.then wanamwambia awawekee hela yao pale hata milioni mia mbili,kiasi kwamba hata akiiweka bado atakuwa lowest bidder.iliwahi tokea miradi ya LAPF dodoma,kampuni moja ilikuwa second lowest lakini kapishana na the lowest bidder kwa milioni mia tano,KWA PROJECT TANO,na zote zilifunguliwa pamoja,siku moja,na lowest wote walikuwa chinese.yaani walihakikisha kuwa hata wakituita kwenye negotiation TUKATAE WENYEWE,sababu sio rahisi mtu akatoa discount ya milioni 500,bora umuache aliyekuwa lowest aendelee!

UMENISOMA KAKA?
Mjomba nimekupata mkuu tena ushanipa idea ya kuanzisha thread nyingine lakini nadhani hiyo ni gross misconduct ya hao jamaa wa Projects and Investments was LAPF na kama ndio hivo basi nadhani kulikuwa na umuhimu wa kuchukua hatua kadhaa moja wapo ni ku appeal na pili mnaweza kutumia vigezo vya PPRA act ya 2004

lakini hiyo in hatari mbili ya kwanza mtaonekana ni wanoko hivyo mtakuwa mko black listed kiaina na hata PREQUALIFICATION kwenu itakuwa big deal,mnaweza kuchukua hatua hizo kama mnazo evidence kuonyesha kumetokea ubadhirifu huko LAPF

Hilo la kutoa BOQ nalo ni gross na nadhani itabidi mjomba tuwasiliane in PM ili unifafanulie zaidi maana kama unayoyasema ni kweli then itabidi LAPF waangaliwe kwa undani zaidi

Kama unazungumzia wachina na projecs zao ni kweli kuwa wanachukua kazi nyingi lakini ni kwa sababu wao costing zao ni chini mno mfano NSSF wao wanaangalia vitu vitatu ambavyo ni COST,QUALITY an TIME OF DELIEVERY, na uiangalia makampuni mengi ya hapa nyumbani ni ngumu sana kucompete na watu ambao wao wanasecure cheap sourcing ya sub contractors ambao mara nyingi huwa ni hao hao wachina wenzao..saa hapa ndipo HUSTLING comes into play, sioni kwa nini mtu uquote bei za saruji ya Tanzania wakati unaweza kupata Meli nzima toka Pakistan at relatively cheap price!
 
Nssf ni kama desi.....

Wizi mkubwa sana umefanyika, bad investment decisions(ie quality group plaza), wanategemea sana nyumba rent(one trick pony) = pension black hole est ths 59bilions.

Sasa hivi watu ambao wastaafu ni kidogo sana kulikoni wanaofanya kazi, wachangiaji ni wengi sana kwa hiyo pengo haliwezi kuonekana (deci).
Uchumi wa tz unakuwa above 5% na kazi nyingi zinatengenezwa, after 30yrs pengo litakuwa limekuwa kubwa sana na watu wengi ambao wanafanya kazi sasa hivi watakuwa wamestaafu

nssf inaweza isifike 30yrs kama tz ikipata majanga ya kiuchumi na growth kuwa below 3%
 
Last edited:
Back
Top Bottom