Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Mashirika kama NSSF, NPF na mengine kama hayo yanakusanya pesa wafanyakazi. Lakini kwa mshangao na masikitiko sioni mashirika haya kama yanasaidia wananachi zaidi ya kujinufaisha yenyewe .
Wafanyakazi mara baada ya kustaafu hawafaidiki kabisa na mashirika haya sababu pesa wanayopokea ni ndogo sana.sijui mtu anayepokea mshahara kama wa 300,000 kwa mwezi akistaafu atapata shilingi ngapi kwa mwezi. Naomba hili swali kwa wanajua watijibu.
Napendekeza wadau na serikali kwa ujumla tuwabane hawa NSSF wajenge nyumba mjini na mikoni na waziuze kwa bei nafuu kwa wafanyakazi. Badala ya kujenga maghorofa makubwa ya kupendezesha mji huku masiha ya wadau yakiwa hayabadiliki.
Miji mingi inayopendeza kama capetown na hata ulaya imepangika na inapendeza sababu mashirika kama haya ya NSSF hayatafuti miradi tu ya kupata faida haraka lakini yalenga kuinua maisha ya watu
NSSF ijenge nyumba kila mkoa za kuuzia wafanyakazi
Wafanyakazi mara baada ya kustaafu hawafaidiki kabisa na mashirika haya sababu pesa wanayopokea ni ndogo sana.sijui mtu anayepokea mshahara kama wa 300,000 kwa mwezi akistaafu atapata shilingi ngapi kwa mwezi. Naomba hili swali kwa wanajua watijibu.
Napendekeza wadau na serikali kwa ujumla tuwabane hawa NSSF wajenge nyumba mjini na mikoni na waziuze kwa bei nafuu kwa wafanyakazi. Badala ya kujenga maghorofa makubwa ya kupendezesha mji huku masiha ya wadau yakiwa hayabadiliki.
Miji mingi inayopendeza kama capetown na hata ulaya imepangika na inapendeza sababu mashirika kama haya ya NSSF hayatafuti miradi tu ya kupata faida haraka lakini yalenga kuinua maisha ya watu
NSSF ijenge nyumba kila mkoa za kuuzia wafanyakazi