Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Nssf ni kama desi.....
Wizi mkubwa sana umefanyika, bad investment decisions(ie quality group plaza), wanategemea sana nyumba rent(one trick pony) = pension black hole est ths 59bilions.
Sasa hivi watu ambao wastaafu ni kidogo sana kulikoni wanaofanya kazi, wachangiaji ni wengi sana kwa hiyo pengo haliwezi kuonekana (deci).
Uchumi wa tz unakuwa above 5% na kazi nyingi zinatengenezwa, after 30 pengo litakuwa limekuwa kubwa sana na watu wengi ambao wanafanya kazi sasa hivi watakuwa wamestaafu
nssf inaweza isifike 30yrs kama tz ikipata majanga ya kiuchumi na growth kuwa below 3%
lete data na stats kusupport arguments zako