Jamani wan JF NSSF wameanza kupiga cm ila wanadai wana counter check sijui wanacho counter check ni nini me nimepigiwa na tigo namba mdada kajitambulisha na kuniita jina fresh kisha akaniuliza kama nilifanya interview post gani nikamwambia basi...
Mimi pia ni 1 wa waliopigiwa, hawa jamaa ni wababaishaji mno, huyo dada nilimjibu nilifanya akasema sawa, then nikamuuliza ni kwann mnanipigia kuhakikisha km ni kweli wakati ni nyie ndo mliniita kwenye intrw na kunifanyisha test na siku ya test kuna form tulisaini je ni kwann msitumie details zile? akajibu kuna watu wa mikoani kipindi kile hawakufanya ndo wanawaita ili waje wafanye kesho.
Nilivyomwambia ktk details zangu hapo hakuna hata sehemu moja ambayo imeandikwa tofauti na dar, je mmetumia kigezo gani kuniweka kwenye watu wa mikonani? majibu aliyonipa hata hapa jf sitaki kuyaandika
Mimi pia ni 1 wa waliopigiwa, hawa jamaa ni wababaishaji mno, huyo dada nilimjibu nilifanya akasema sawa, then nikamuuliza ni kwann mnanipigia kuhakikisha km ni kweli wakati ni nyie ndo mliniita kwenye intrw na kunifanyisha test na siku ya test kuna form tulisaini je ni kwann msitumie details zile? akajibu kuna watu wa mikoani kipindi kile hawakufanya ndo wanawaita ili waje wafanye kesho.
Nilivyomwambia ktk details zangu hapo hakuna hata sehemu moja ambayo imeandikwa tofauti na dar, je mmetumia kigezo gani kuniweka kwenye watu wa mikonani? majibu aliyonipa hata hapa jf sitaki kuyaandika
Umejibu vyema mkuu, umefanya jambo la maana kumbana kwa maswali. Watu wasikutishe mkuu, watu wasiojiamini siku zote huwa ni waoga kama kunguru.
ushafeli interview, hivi ungewajibu kuwa ulifanya peke yake ungepungukiwa nini?
Umejibu vyema mkuu, umefanya jambo la maana kumbana kwa maswali. Watu wasikutishe mkuu, watu wasiojiamini siku zote huwa ni waoga kama kunguru.
Nasikia kuna maluki 20 wa kigogo hawakuepo kwenye mkusanyiko wa IFM na wamatakiwa wapate deal, ili kuweka mchakato sahihi wameamua kuitisha ili waonekane kua walifanya aptitude. Walengwa walikua wale 20 ila kundi lililofuata ilikua sindikiza mwali kashatolewa mahali. Mi pia nilikuemo kwenye mchakato wa APTITUDE ila nilipoona mpango wa KUANDIKA JINA akati nilipewa namba, niakajua imekila kwetu na wamenipotezea muda.......