my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Tarhe 16 october 2018 nakuwa mtu mzma kwa urasimi. Natimia miaka 18.Ebu nimpen ushauri nfanye nn kuelekea safar yng ya utuziman. nfanye nn ili nwe na safar njema? asanten sna
Adulthood
nasoma nakaa kwetu wakat wa shule nakaa hostelUnasoma? Unakaa kwenu?
Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
sawa kwan nimekosea kuandika?Cha kwanza kabisa ujifunze kuandika kwa ufasaha
bado nko shule
njoo pm nkupe notes (just kidding)nasoma nakaa kwetu wakat wa shule nakaa hostel
sijaelewa unamanisha nn?notes umeandika lakini?
umefuzu vigezo na masharti!!!!!Tarhe 16 october 2018 nakuwa mtu mzma kwa urasimi. Natimia miaka 18.Ebu nimpen ushauri nfanye nn kuelekea safar yng ya utuziman. nfanye nn ili nwe na safar njema? asanten sna