Now ifike kipindi tuachane na suala la ZZK

Now ifike kipindi tuachane na suala la ZZK

Sioni kwanini huyu hafukuzwi ili tuachane na habali zake maana anatukela yeye si zaid ya chama,afukuzwe ili watu tusonge mbele amekua kila siku ZT,ZT,ZT,ZT,ZT,ZT.

Hivi niihoji hiyo CC Kwanini hamtoi maamuzi, yani nanyi amewapanda nyote msijue kua kija kisha potea mkamfukuza naona au kuhisi CC Ya chama nayo inakua lege lege fukuzeni huyo hatakiwi vijana tupo wengi hatutashidwa halakati mkiacha kumfukuza kijana atajiona kakioa Chama.

mkuu, kamati kuu yenye wajumbe kama lema itakuwa na hekima/busara kweli? nahisi hata uamuzi waliouchukua ulitawaliwa na jazba plus chuki na ndio maana kwa sasa wamekwama!!!
kama chama ni vema tukafanya mapitio ya sifa za wajumbe kamati kuu ktk katiba kuepuka mihemko ktk maamuzi in future.
 
Ukiamua kuandika kiingereza andika Kama Kiswahili andika sio kuchanganya lugha halafu hauleweki!
 
Wanajamvi ni dhahili kuwa sasa imefika kipindi suala la zzk liwekwe kapuuni then tuendele na mambo mengine ya msingi coz ipo wazi tunakaa humu ndani tunabishana na vijana wa lumumba kwa mambo yasiyo na mashiko.
Mfano 1:huwezi sema zzk ni maarufu kuriko CDM.if yeye ni maarufu basi aanzishe chama chake.
2:mfano tumeuona kwa akina hamad rashid wa CUF
So no way out we need kuwaacha hao.
You know why? Zamani jamiiforums was truly a forum of great thinkers.siku hizi vijana wa book 7 wameharibu dira na dhima ya jukwaa hili.kuna michango mingine inawekwa mpaka unashangaa huyu mtu kweli amewahi kukaa darasani? yaani mtu anajaribu kumlinganisha zitto na CHADEMA!! mtu anasifia utendaji kazi wa mtu ambeye amelifikisha taifa ovyo kabisa!!
 
Jaman wa Jf, tuweke ushabiki pembene tuachane na upuuzi wa mpuuzi na mslati Zitto, hili suala la zitto likome kabisa kwani yeye nani mpaka asiadhibiwe? Kama China Viöngozi wananyongwa kwa usaliti sisi huku kwa nini tusiweze? Sasa Ndgu wa Tz na wapenda maendeleo wote kwa ujumla zimepita kama wikh kadhaa watu wanaongelea maswala ya Zzk, sasa huu ni muda mwafaka wa kuweza kujihoji mimi na wewe kama watanzania masuala muhimu kama haya, (1) sote jamani tuungane tuweze kujihoji na kuelimishana ni jinsi gan? Tungependa KATIBA yetu iwe. Na siyo kila siku personal issues hapa. (2) hivi ni kwanini gharama za maisha zinapanda alafu ndo watu wanazidi kukosa ajira na vipato vyao kuwa costant? Mfn umeme kupanda mpaka 85% , kodi ya simu kutoka 14.5- 17%. Tujihoji na tuchukue hatua. (3) tuangalia msitakabali wa Elimu yetu na siyo kuögelea habari za upuuzi akati upande wa pili elimu yetu inachakachuliwa. NOTE; Leo hii CHADEMA wakipigani haya mambo ya msingi tuwaona wakorofi, sasa ifike muda jamani wanajamvi tujitathimini
 
Ukimjadili ZZK directly unajadili:
-Demokarasia kwenye vyama
-Unajadili ubadhilifu kwenye vyama
-Ubaguzi kwenye vyama
-Uonevu kwenye vyama
Hayo yote ni ya msingi kwa mustakbal wa nchi yetu
 
Endeleeni kupoteza muda na atafukuzwa tu,hamieni kwenye vyama vya namna mnayoitaka lakini kwetu msaliti ni sawa na mchawi! hana thamani yoyote mwacheni arukeruke tu kama maharage chunguni. ....??? ngoma ikivuma sana mwisho hupasuka,na yeye soon atapasuka na kusahaulika katika medani za siasa!
 
Tena bado haijatosha inatakiwa majadiliano yapelekwe pale Nkurumah hall UDSM akajadiliwe zaidi ili kuiweka sawa nchi hii hivi sasa na vizazi vijavyo.
 
Ukimjadili ZZK directly unajadili:
-Demokarasia kwenye vyama
-Unajadili ubadhilifu kwenye vyama
-Ubaguzi kwenye vyama
-Uonevu kwenye vyama
Hayo yote ni ya msingi kwa mustakbal wa nchi yetu

Kama anabaguliwa si aondoke aende vyama vingine? anadhani yeye na hao mamluki wenzake wana ubavu wa kupambana na taasisi kubwa kama cdm yenye wapiganaji hadi vijiji vya ndani wasiomjua hata zito ni nani nchi hii? nendeni vijijini ndani muone alivyo dhaifu na watu hawamjui! CDM 4EVER.
 
Demokrasia ikitumika vibaya inageuka chaka la walafi,wanafiki,wasaliti na wachumia tumbo kama zito kujificha.CDM fukuzeni huyo kalumekenge haraka kabla mwaka huu haujaisha!
 
Huwezi kuufunga mjadala wa Zitto Kabwe. Dr. Slaa mwenyewe alisema mjadala umefungwa na sasa yeye ndiyo yuko mstali wa mbele kuuendeleza.
 
Endeleeni kupoteza muda na atafukuzwa tu,hamieni kwenye vyama vya namna mnayoitaka lakini kwetu msaliti ni sawa na mchawi! hana thamani yoyote mwacheni arukeruke tu kama maharage chunguni. ....??? ngoma ikivuma sana mwisho hupasuka,na yeye soon atapasuka na kusahaulika katika medani za siasa!

Bila shaka akifukuzwa ndio tutapata uwezo wa kuwa na hospitali bora, shule bora, barabara bora, ajira kwa vijana na utawala bora. What kind of utility will you maximize for zitto being fired?
 
kuhusu huyo zitto mfukuzeni tu haina haja ya kumtungia uongo kwenye mitandao. kwani kamati kuu si yenu, hata mkimfukuza hamna wa kuwahoji.
na kwa bahati mbaya kabisa kumbe na nyinyi ni wachumia tumbo tu kama haya maccm a.k.a chama cha majizi.
eti mnatetea wanyonge! wanyoge wawapi wanafiki wakubwa nyie.

Wanajamvi ni dhahili kuwa sasa imefika kipindi suala la zzk liwekwe kapuuni then tuendele na mambo mengine ya msingi coz ipo wazi tunakaa humu ndani tunabishana na vijana wa lumumba kwa mambo yasiyo na mashiko.
Mfano 1:huwezi sema zzk ni maarufu kuriko CDM.if yeye ni maarufu basi aanzishe chama chake.
2:mfano tumeuona kwa akina hamad rashid wa CUF
So no way out we need kuwaacha hao.
 
kuhusu huyo zitto mfukuzeni tu haina haja ya kumtungia uongo kwenye mitandao. kwani kamati kuu si yenu, hata mkimfukuza hamna wa kuwahoji.
na kwa bahati mbaya kabisa kumbe na nyinyi ni wachumia tumbo tu kama haya maccm a.k.a chama cha majizi.
eti mnatetea wanyonge! wanyoge wawapi wanafiki wakubwa nyie.

Bahati mbaya kitufe cha

  • Kinatoa like moja ila chukua zingine Mia nane.
 
Back
Top Bottom