Novel gani ilikuvutia enzi uko secondary?

Za skuli? Hapana hazikutuvutia kabisa, hao kina chinua Achebe na wenzake kama Ngungi wa Thiong'o tulikuwa tunawapitia kwa sababu ya Marks za darasani. Lakini bila ya kusoma zile za James Hardley Chase basi wewe ulionekana siyo Mkali. Kwa kwa za kibongo nilipenda sana ile ya "Kitanda cha Mauti" ya Hamie Rajabu kama sikosei,na zote tatu za Mzee Musiba (RIP) muhusika wake mkuu akiwa ni Willy Gamba. Kuna za mtu anaitwa Agatha Christie hizo nazo nilizipitia sana!!

Kitanda Cha Mauti ni cha Kajubi Mukajanga
 
hivi alfu lela ulela kiliandikwa na nai vile?

Alfu Lela Ulela ni mkusanyiko wa hadithi nyingi za kale kutoka mataifa mbalimbali India, China, Uarabuni na Kwingineko.
Simulizi hizi zilichukua siku Elfu Moja na moja kukamilika na ndipo zikaitwa Alfu Lela U Lela.
 
Alfu Lela Ulela ni mkusanyiko wa hadithi nyingi za kale kutoka mataifa mbalimbali India, China, Uarabuni na Kwingineko.
Simulizi hizi zilichukua siku Elfu Moja na moja kukamilika na ndipo zikaitwa Alfu Lela U Lela.

thanx mkuu
 
Safari za/ya Gulliver
Just Another Sucker - James Hadley Chase
One Bright Summer Morning - ... do ...
Simu ya Kifo
Things Fall Apart
Mfululizo wa vitabu vya Malimwengu
 
Kuna kitabu kilipigwa marufuku, sikumbuki jina ila kilikuwa kwa mtindo wa mashairi na vilikuwa viwili.
 
somg of lawino
no longer at easy
things fall apart
zawadi ya ushindi
novels za b. R . Mtobwa (sterling wake joram kiango)
novels za e. musiba (sterling wake willy gamba)
alfu lela ulela
novels za sydney sheldon kama dooms day, nk
enter my jungle
 
Back
Top Bottom