kijazi07
JF-Expert Member
- Feb 14, 2016
- 1,035
- 2,211
UnaandikajeHiyo ni shida kuu ya Samsung iwe ni copy au og, na hutokea ikiwa simu uta ireset au kuflash.
Cheki imei ya ndani na ya nje zinafanana? Kama hapana iandikie IMEI.
Vile vile kama hazifanani iandikie IMEI.
